Anguko la Ayatollah ni anguko la ugaidi duniani

Anguko la Ayatollah ni anguko la ugaidi duniani

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,467
Reaction score
28,902
Asili yenu ni kifo na fujo.

Asili yenu ni maafa na damu.

Asili yenu ni kuhangamiza na uuaji.
20260115_095557.jpg
 
Asili yenu ni kifo na fujo.

Asili yenu ni maafa na damu.

Asili yenu ni kuhangamiza na uuaji.
View attachment 3529983
Mbona haujatoa mlio huko Gaza?
Ripoti ya UN inasema toka yafikiwe makubaliano ya kusitisha vita, Israeli imeendelea kuishambulia Gaza na imeshaua watoto wasiopungua 100 na bado wamewazuia wasifikiwe na chakula wala madawa
 
Mbona haujatoa mlio huko Gaza?
Ripoti ya UN inasema toka yafikiwe makubaliano ya kusitisha vita, Israeli imeendelea kuishambulia Gaza na imeshaua watoto wasiopungua 100 na bado wamewazuia wasifikiwe na chakula wala madawa
Ahahha

Wewe unatoa habari zako al jazeera.

Chimba chini uone hamas bado wanaendelea kufanya mashambulizi unategemea IDF ikae kimya.?

Wiki moja tu baada ya makubaliano, hamas waliendeleq kupenyezabkwenye mahandaki na kuvuka red zones.
 
Niweke tu record vizuri kuwa, Israel hakuna wakristo wala hawamtambui Yesu
Walau Waislam wapo japo sio wengi. Nirahisi kuwaona wakristo Saudi Arabia kuliko kuwaona Israel...
Hivyo msije kujidanganya kushabikia iSRAEL mkifikiri ile ni Nchi ya wakristo; kule hawamtambui Yesu wala......
 
Niweke tu record vizuri kuwa, Israel hakuna wakristo wala hawamtambui Yesu
Walau Waislam wapo japo sio wengi. Nirahisi kuwaona wakristo Saudi Arabia kuliko kuwaona Israel...
Hivyo msije kujidanganya kushabikia iSRAEL mkifikiri ile ni Nchi ya wakristo; kule hawamtambui Yesu wala......
Hakuna sehemu yoyote imeongelea ukristo hapo.

You are the last person i need a record from, who the fk are u by the way🤣
ANYWAY,

Hapo ni picha kubwa iliofanywa na kikundi cha islamic republic chini ya utawala wa kigaidi wa ayatollah.

PUNGUZA KUNYWA VISUNGURA
 
Asili yenu ni kifo na fujo.

Asili yenu ni maafa na damu.

Asili yenu ni kuhangamiza na uuaji.
View attachment 3529983
Niliwaambia watu kuwa njia sahihi ambayo inaweza kuangusha serikali ya iran ni kupitia uislamu wenyewe kwa sababu mtu awezi kuamini kwenye uislamu na akawa na akili ....Serikali pumbavu ya kiislamu ya iran inatumia dini dhidi ya wananchi wake na kufanya ichukiwe ndani ya nchi ....kosa kubwa sana ilo hivyo kufanya adui wa nje kuwa na nguvu...tazama upumbavu wa Samia bushiri ana taka kushindana na nguvu za dunia huku anazidi kuchukiwa ndani ya nchi.
 
Hakuna sehemu yoyote imeongelea ukristo hapo.

You are the last person i need a record from, who the fk are u by the way🤣
ANYWAY,

Hapo ni picha kubwa iliofanywa na kikundi cha islamic republic chini ya utawala wa kigaidi wa ayatollah.

PUNGUZA KUNYWA VISUNGURA
Kwa hiyo umeona ukichomekea kiingereza cha English course ndio tunakuona mzungu au?
ISRAEL HAKUNA WAKRISTO NA WALA HAWAMTAMBUI YESU NA WALA HAWATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZAKE!
 
Hakuna sehemu yoyote imeongelea ukristo hapo.

You are the last person i need a record from, who the fk are u by the way🤣
ANYWAY,

Hapo ni picha kubwa iliofanywa na kikundi cha islamic republic chini ya utawala wa kigaidi wa ayatollah.

PUNGUZA KUNYWA VISUNGURA
Inaelekea hujui ugaidi ni nini? Mpaka uambiwe na marekani
 
Utawala haram wa ayatollah khamanei umefika tamati
Hakika,

Huyu ndie baba wa machafuko hapo mashariki ya kati.

Ila vijana wa itikadi kali kali wamefumba macho 🤣🤣 kwa maana sio gaza na israel hauhusiki
 
Ayatollah ndo rais pekee anayepitia wakati mgumu kuliko wote ukanda huo, plus mikwala ya Trump hapo mapigo ya moyo yapo juu juu mda wote.
Yule dingi hana stress yoyote ile wenyewe stress ni wale wapiga mikwara, ukisha kua na misimamo Yako katika hii dunia hakuna mpumbavu atakuletea ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom