Anguko kuu la CHADEMA

Anguko kuu la CHADEMA

kabla ya uchaguzi kuna kampeni maalum ndani ya chadema itapewa jina la oparation ya ukombozi ndani ya chama kuelekea uchaguzi october 2020.

mambo yatakaa sawa na bilioni nane alizokula atazitoa kupitia tundu lolote la mwili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya asubuhi wanabodi?

Ni tumaini langu kwamba tuko salama na tunaendelea kupambana katika kulijenga taifa letu.

Ndugu wanabodi katika kuendelea na mapambano ya kulijenga taifa letu nawaomba sana msijisahau kujilinda na ugonjwa wa COVID-19. Tuendelee kuchukua tahadhali na kuwa waangalifu wa hali ya juu.

Wanabodi wa JF, kama kichwa cha uzi huu kisemavyo hapo juu ni kwamba CHADEMA ni chama cha ajabu sana kwani kimeshindwa kusimamia misingi ya demokrasia na haki asilia(Natural justice). Kwa mantiki hii CHADEMA mwaka huu imejichimbia kaburi bila kujijua.

Wanabodi, CHADEMA ni chama ambacho kinahubiri demokrasia na wakati mwingine huwa wanenda mbali zaidi na kumtuhumu mheshimiwa Rais wa JMT kwamba ni dikteta, hapendi ushauri n.k ila kwa kipindi hiki CHADEMA imedhihirisha ni jinsi gani walivyo wanafiki, wazandiki na madikteta kutokana na matendo ya mwenyekiti wao.

Wanabodi, CHADEMA kuwafukuza wabunge wake bila kuwapa haki ya kuwasikiliza wanatuonesha picha gani sisi wananchi wa kawaida?

Wanabodi, CHADEMA kutoa amri kwa wabunge wake wasiingie bungeni na kukataa kueleza lengo la hiyo amri na sababu za msingi za kufikia huo uamuzi wa kutokuingia bungeni na kutowashilikisha wabunge wake katika hilo jambo, je inaleta picha gani kwa wananchi wa kawaida na wanachama wake?

CHADEMA, kuwakata wabunge mishahara yao kwa ajili ya kuanzisha akaunti maalumu ambayo itawasaidia wabunge hao katika kampeni pale ambapo watakuwa wamekwama na kutumia hiy o hela kinyume na makubaliano ya wanufaika(wabunge wa CHADEMA) inaleta picha gani kwa jamii?

WanaCHADEMA ile demokrasia, utawala wa sheria na haki asilia ambayo mmekuwa mkihubiri bungeni, kwenye mitandao ya kijamii iko wapi katika chama chenu? Kwanini mnapenda kuwanyooshea wezenu vidole kwamba wao ni wachafu wakati nyie ndiyo wachafu wakuu, wazandiki na wanafiki wakubwa?

Kwa mantiki hiyo, mkipewa dhamana ya kuongoza nchi yetu mnataweza kweli? Kama mambo mmeshindwa kutekeleza katiba yenu pamoja na katiba ya JMT mtawezaje kuongoza nchi?

Mwaka 2005 nilitokea kuipenda sana CHADEMA kwani ilikuwa na watu wenye uwezo mkubwa sana katika mambo ya kisiasa. Waliposimama kutoa hotuba/hoja hakika ni watu ambao walionesha uwezo, ukomavu na weledi katika siasa. Ila kutokana na udikteta wa DJ umesababisha anguko kubwa sana la CHADEMA. Wale watu wote wameanza kuikimbia CHADEMA kwani inaongozwa na mtu ambaye siyo sahihi. Siku zote ni ngumu sana mtu mwenye akili ndogo kumuongoza mtu mwenye akili kubwa na ndiyo maana Dr. slaa, Zito Kabwe na wenzake waliondoka mapema CHADEMA kwani waliona mbali sana kama mnabii.

Mwisho, CHADEMA acheni unafiki wenu. Unafiki ni jambo baya sana katika Dunia hii. Kama mnafikiri wananchi hawaoni mnachofanya nawapa pole sana. Kwa sasa wananchi tupo makini sana. Sijui kwa mwaka huu matakuja na sera gani za kuwashawishi wanachi.

Ahsanteni na karibuni kwa michango.
Chadema ni chama kinachokomaa na hakifi leo wala kesho.
 
Kuna siku tutaamka tuambiwe CHADEMA kimebaki na watu wafuatao tu;
1. Aikael Mbowe Freeman
2. Tundu Lisu Antipas
3. Joseph Mbilinyi (Sugu)
4. Halima James Mdee (zege ya sauti)
5. Mchungaji Peter Msigwa
6. John John Mnyika
7. Joseph Haule (Prof. Jay) Yule mbuge wa swala, Simba, fisi na Watu.

Wengine waliobaki hawatabiriki, huita Bwana bwana lakini akigeuka nyuma hatowaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mwenye nchi yuko Rubondo anafanya nini? Ameikimbia korona. Hivi aliyekaa mafichoni huku anawaambia wenzake wachape kazi,wasitishwe. Na na ambaye ameonesha hofu ya dhahiri yupi ni mnafiki. Nadhani kuna haja ya kujua maana ya manafiki. Wewe mtoa mada ndo mnafiki maana unajifanya huujui ukweli wakati unajua. Chadema inasimamia kile inachokiamini. Ila wewe ni bendera fata upepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh!Na wewe nawe,umetapika utumbo mtupu.Mchana na mada.Mtazamo Mbowe katika kuna zote,kweli anastahili hata kuwa mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Bomang'ombe?
Sasa uozo wake na wa Chama chake unaonewa hadharani.Au hao kina JUALIKALI na wenzie,ndio wamenunuliwa na Chama kubwa(CCM)?Hivyo alinunuliwa kiasi gani hadi kujikinga kulia.
Huh ni mwisho wa Chadema na mwanzoni wa Siasa bila DJ inawezekana TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya asubuhi wanabodi?

Ni tumaini langu kwamba tuko salama na tunaendelea kupambana katika kulijenga taifa letu.

Ndugu wanabodi katika kuendelea na mapambano ya kulijenga taifa letu nawaomba sana msijisahau kujilinda na ugonjwa wa COVID-19. Tuendelee kuchukua tahadhali na kuwa waangalifu wa hali ya juu.

Wanabodi wa JF, kama kichwa cha uzi huu kisemavyo hapo juu ni kwamba CHADEMA ni chama cha ajabu sana kwani kimeshindwa kusimamia misingi ya demokrasia na haki asilia(Natural justice). Kwa mantiki hii CHADEMA mwaka huu imejichimbia kaburi bila kujijua.

Wanabodi, CHADEMA ni chama ambacho kinahubiri demokrasia na wakati mwingine huwa wanenda mbali zaidi na kumtuhumu mheshimiwa Rais wa JMT kwamba ni dikteta, hapendi ushauri n.k ila kwa kipindi hiki CHADEMA imedhihirisha ni jinsi gani walivyo wanafiki, wazandiki na madikteta kutokana na matendo ya mwenyekiti wao.

Wanabodi, CHADEMA kuwafukuza wabunge wake bila kuwapa haki ya kuwasikiliza wanatuonesha picha gani sisi wananchi wa kawaida?

Wanabodi, CHADEMA kutoa amri kwa wabunge wake wasiingie bungeni na kukataa kueleza lengo la hiyo amri na sababu za msingi za kufikia huo uamuzi wa kutokuingia bungeni na kutowashilikisha wabunge wake katika hilo jambo, je inaleta picha gani kwa wananchi wa kawaida na wanachama wake?

CHADEMA, kuwakata wabunge mishahara yao kwa ajili ya kuanzisha akaunti maalumu ambayo itawasaidia wabunge hao katika kampeni pale ambapo watakuwa wamekwama na kutumia hiy o hela kinyume na makubaliano ya wanufaika(wabunge wa CHADEMA) inaleta picha gani kwa jamii?

WanaCHADEMA ile demokrasia, utawala wa sheria na haki asilia ambayo mmekuwa mkihubiri bungeni, kwenye mitandao ya kijamii iko wapi katika chama chenu? Kwanini mnapenda kuwanyooshea wezenu vidole kwamba wao ni wachafu wakati nyie ndiyo wachafu wakuu, wazandiki na wanafiki wakubwa?

Kwa mantiki hiyo, mkipewa dhamana ya kuongoza nchi yetu mnataweza kweli? Kama mambo mmeshindwa kutekeleza katiba yenu pamoja na katiba ya JMT mtawezaje kuongoza nchi?

Mwaka 2005 nilitokea kuipenda sana CHADEMA kwani ilikuwa na watu wenye uwezo mkubwa sana katika mambo ya kisiasa. Waliposimama kutoa hotuba/hoja hakika ni watu ambao walionesha uwezo, ukomavu na weledi katika siasa. Ila kutokana na udikteta wa DJ umesababisha anguko kubwa sana la CHADEMA. Wale watu wote wameanza kuikimbia CHADEMA kwani inaongozwa na mtu ambaye siyo sahihi. Siku zote ni ngumu sana mtu mwenye akili ndogo kumuongoza mtu mwenye akili kubwa na ndiyo maana Dr. slaa, Zito Kabwe na wenzake waliondoka mapema CHADEMA kwani waliona mbali sana kama mnabii.

Mwisho, CHADEMA acheni unafiki wenu. Unafiki ni jambo baya sana katika Dunia hii. Kama mnafikiri wananchi hawaoni mnachofanya nawapa pole sana. Kwa sasa wananchi tupo makini sana. Sijui kwa mwaka huu matakuja na sera gani za kuwashawishi wanachi.

Ahsanteni na karibuni kwa michango.
Kuna makosa mengine hayawezi subiri natural justice ifanyike ...Ni sawa na Waziri mmoja huko aUingereza aliyejuzulu baada ya kukutwa akijifaidia Malaya barabarani....alipisndika barua ya kujiuzuru PM Wala hakumjibu alichofanya Ni kuteua Waziri mwingine Basi!
 
Mmmh!Na wewe nawe,umetapika utumbo mtupu.Mchana na mada.Mtazamo Mbowe katika kuna zote,kweli anastahili hata kuwa mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Bomang'ombe?
Sasa uozo wake na wa Chama chake unaonewa hadharani.Au hao kina JUALIKALI na wenzie,ndio wamenunuliwa na Chama kubwa(CCM)?Hivyo alinunuliwa kiasi gani hadi kujikinga kulia.
Huh ni mwisho wa Chadema na mwanzoni wa Siasa bila DJ inawezekana TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una hoja za kitoto!
 
Kama unasubiri anguko la CDM basi utakufwa bila kulishuhudia.
 
Back
Top Bottom