Hata wakimptisha lazima ccm mwaka huu iondoke madarakani.Duwa zetu wasimpitishe lowasa tuone mahinterahamwe yanavyo sambaratika
1)Kutokana na hali iliyonayo CCM (ya kutokuhangaika kabisa na ukizingatia hali halisi ya upinzani kwa sasa) PENGINE WANA UHAKIKA KUWA UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA BADO SANA! KUNA MIAKA MIWILI MBELE (2017? )
Wananchi wanajua wanachokifanyaAnyway,Mwenyekiti aliwatahadharisha wana ccm kuwa wajiandae kisaikolojia.
Naami wamelifanyia kazi agizo la Mwenyekiti,mda ndio huo umefika.
Wamefanyia kazi 2020.3)Pengine kina mbinu mpya na ya kipekee ambayo ipo kwenye makaratasi bado!