Angekuwa ndiyo Lowassa...

Angekuwa ndiyo Lowassa...

Anybody else will have always constituted a lesser evil.
Muda huu, Rosti angekuwa ndiyo de facto President!
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?
Ndio ujue kwamba watu wanaompinga JPM ni mamburula wanywa viroba!
 
Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?
Kama angekuwa LOWASA angetenda tofauti na yanayotendeka sasa na bado wangepigakelele pale amdapo raia wangeona hapako sawa KELELE hazipigwi kwa kuwa niyeye sababu kuu ni pale raia wanapoona kuna jambo haliko sawa
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?[/QUOT Your thread has a genuine need for sober contributions but, expect nothing but partisan contribution since most of contributors have changed the way they use their body parts. For example, instead of one using head, he uses his bottom to think.
 
Lowassa asingefanya huo upuuzi, angefanya mambo ya msingi!

Lowasa angefanya yapi hayo ya msingi? Na gharama zilizofadhili kampeni zake angelipaje? usiniulize sasa analipaje maana kelele za fedha zimetea ni sehemu ya malalamiko ya w alioota ndoto ya kufaidi
 
Wanaokufa kwa kukosa madawa mahospitalini unawashauri wakapande bombadier ndio wapone? ndio kafanya yote hayo, mbona ahueni ya life haipo? mbona bado wanafunzi wanaendelea kukosa mikopo na alisema hataki kusikia hizi taarifa za wanafunzi kukosa mikopo? kuna mifano mingi tu hai

punguza mahaba na chama weka maslahi ya taifa mbele
 
Wanaokufa kwa kukosa madawa mahospitalini unawashauri wakapande bombadier ndio wapone? ndio kafanya yote hayo, mbona ahueni ya life haipo? mbona bado wanafunzi wanaendelea kukosa mikopo na alisema hataki kusikia hizi taarifa za wanafunzi kukosa mikopo? kuna mifano mingi tu hai

punguza mahaba na chama weka maslahi ya taifa mbele
Unafikiri kwa "masaburi" wewe sio bure!
 
Nginana,
Well said mkuu. Ndio maana nikasema inachofanya serikali ya awamu hii ingetakiwa kiwekwe kwenye system badala ya hii mihemko ya kila kukicha.

Naomba mfano mmoja wa mhemuko uliofanywa na huu awamu ambacho kilipaswa kuwekwa kwenye system
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?

Mkuu, Ilani ya Ukawa ilikuwa ni ;
ELIMU
ELIMU
ELIMU.

Anzia hapo, kisha andika upya hoja.
 
Mkuu! Wala hatukuwa kwenye mstari,bali tulisimama out of crowd ili tusikike vyema!! Wewe ulikuwa wapi? Leo uko wapi? Lowassa was a centre of political gravity! Aliyeshinda alishinda kwa sababu ya Lowassa,aliyeshindwa alishindwa sababu ya Lowassa!! Kuna Na wengine tumewajua rangi zao halisi kupitia Lowassa! [HASHTAG]#ulipotupo[/HASHTAG] na hata sasa naendelea kupata mtiririko mpya wa uhalisia wa fikra za wengine kupitia jina lake!! Na Mimi ni sehemu ya hao Wengine.

interesting...
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?

Tutazungumziaje kitu ambacho hakipo kwa sbb Lowassa siyo Rais, siyo Magufuli.

Rais ni Magufuli wa CCM na huyo ndiye anayetenda na ndiye anayepaswa kujadiliwa kwa vyovyote vile.

Sawa na kusema wewe Nyani Ngabu (ambaye ni mwanaume, I guess). Useme....ningekuwa mwanamke, ninge.........

Kitu ambacho hakiwezi kutokea ukawa mwanamke. Kwa hiyo kuanza kujadili uanamke wako (ambao hauna) na wakati wewe ni mwanaume ni kupoteza muda!!
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?
maswali ya kishoga hayo
 
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.

Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.

Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.

Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...

Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.

Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?

Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?
Kabla atujaenda mbele hebu thibisha huo utukufu wake
 
Uo mfano hauwezekani Kwa white hair Angekuaa meitafuna nchi yote kwa Wizi.Paka hapewi kazi ya Kalinda samaki.
 
Back
Top Bottom