Angekuwa ndiyo Lowassa...

Na katiba hii mkuu kaipiga teke......
 
Hampendi Lowassa wenu asemwe eh?

Halafu hapo hapo usikute nyie ndo mlikuwa mstari wa mbele kumlaani wakati alipokuwa CCM.
Kweli nilimlaumu sana Lowassa kwa kuwa sikuujua ukweli. Kwa sasa naujua ukweli na nimejifunza kuacha siasa za kishamba za '' watu'' badala yake '' issues''
 
Wengi wanamchukia Mtukufu kwa kauli zake....hasa zile za kibabe... achana na zinazokwenda na kejeli + vijembe ndani yake...na upande anatugeukia na kutuomba tumuombee.....Waliomtangulia hawakuwa na Lifestyle ya dizaini yake....kila kitu yeye ndie mfanyaji....Poa, tunamuombea mabadiriko....mbeleni atachenji...
 
Mke wake angekua kashafungua NGO na kuanza sanaa
 
Angekuwa ni anafanya upuuzi wa ivyo nisinge msuport na nisingempigia kura Tena. Na ningemtukana kimoyonoyo kama watz wengi wanavyomtukana magufuli.
 
hakun
MKUU ukiona umeingia upinzani kazi yako ni kupinga tu hata kama ni zuri,Mie ni heri ninyamaze kuliko kukaa upinzani.

Kibaya zaidi siasa za tz zimejaa unafiki,watu wanatumia siasa kwenye kila kitu, hawaoni mazuri ya upande wa pili hata kidogo!
hakuna watu wanafiki kama ccm kwa taarifa yako
 
Unafikiri lizabon angesemaje? Kama siyo kusema anataka kuua muungano na kubadili jina la Tanzania kurudi Tanganyika kwa sababu kafuta sherehe za Uhuru.
 
Bavicha kundi la manyang'au wachonganyishi wapenda unafiki. Mlimuua chacha wangwe kwa maslahi wa wachache wenu.
 
Wabunge wenu wamepigwa na njaa wameamua kuingia bungeni wakati walisema hawataingia mjengoni.
 
Ukosoaji ungekuwepo hata angefanya mazuri kiasi gani, serikali inayokosa ukosoaji ni sawa na kipofu anayejiendea tu pasipo muongozo wa mtu au fimbo, na hii ipo duniani kote na hata kwenye serikali za kiimla hazikosi wakisoaji. Na hata kwenye maisha yako kama huna mkosaji gombana hata na jirani yako utajua madhaifu yako ili uweze kuyarekebisha kwa sababu ndio atakuwa mkosoaji wako mkuu na utasikia kupitia majirani zako wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…