Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
WanaChit-Chat kama wewe ni mwanaume kama mimi na hujaoa basi kaa ukijua ukitalala na mwanamke nyumbani kwako tarehe 25 kuamkia 26 tutahesabu huyo ni mkeo, nawewe mwanamke ambaye hujaolewa ukilala na mwanaume tarehe 25 kuamkia 26 nyumbani kwako tutahesabu huyo ni mumeo. . . .Nadhani nimeeleweka.