Angalizo Usije kuiamini smartphone yako

Angalizo Usije kuiamini smartphone yako

Za mwizi 40, unamsifia wife material hapo hapo unafanya yakufanya, huwajui wanawake kama akikusamehe na mkaendelea vizuri basi shukuru laa ameshajua kuwa wapo wengine hivyo naye lazima ataongeza naye wakukusaidia wewe tulia tu vuta pumzi, ukipata mtu mzuri hujielewi subiri upata kiruka njia ndiyo utatulia kiroboto

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa ndo mtihan zaid ya necta


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
unapendwa et? muulize kakupendea nini maana wanawake akili zao wanazijuaga wenyew, ivi unajua mwanamke anaweza kukupenda pasipo sababu yoyote ile ila wanaume tunapenda kwa sababu ana kitu flan, asa wew ndo unaonekan umependa ila ujijui anakudekea tu

Hujui unachoongea mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nafukiriaga Kufuta what's up kabisa, halafu hizi Instagram Ndio noma uki like picha ya mtu anakuchora wivu kibao
FB_IMG_1554444738368.jpeg
 
Tamaa hizi mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mie mwanamke akiwa sio korofi nampendaga tu unconditionally na linapokuja swala la genye, first thing that comes in my mind is my woman.

Nashangaa vijana wenzangu mnakwama wapi!? Una KE wako anakupenda na anakupa raha tu jinsi utakavyo. Kwanini umsaliti?
 
Back
Top Bottom