Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Sikuwa mimi japo huko nilitoka 2010.2011s
Sikuwa mimi japo huko nilitoka 2010.2011s
mkuu kwan ulimkuta bikra uyo bibie? na kama ulikuta kizibo washafungua bas nae huwa anachepuka usijipe shida let her go acha ufala afu mwanamke ambaye anajitambua hanaga kiherehere cha kukagua sim ya boy wake we kausha atarud mwenyew uyoNAKAZIA tena wanabodi usiiamini smartphone yako hata siku moja leo yamenikuta makubwaa. Zimepita kama 2weeks bila kuonana na bibie, sasa leo si tukapanga tutoke out tukainjoy.
.
.
bhasi kwakuwa najua kuna vimchepuko nachat navyo sana si nikafuta uchafu wote nikawa kidume najiamini kifua mbele
.
.
Leo nimemimit na bibie akachukua cm kama kawaida ya wanawake wanachokitafutaga huwa wanakipata, leo ilikua siku yake ya kukipata anachokitafuta.
.
.
Hta haikuchukua zaid ya dk3 naona bibie kabadilika sura tyr, ile kurudsha sim naona chats zote za mchepuko hata sikuamini, alichofanya akanambia nashukuru amelegea htr zile chats ni htr kwa afya wakuu emesepa zake nmejarib mwomba wapi.
.
.
Ujinga nlofanya siku delete kumbe nili archive chat kwa iphone user wanajua wkt wa kufuta chat kuna option 2 huwa znakuja sasa me siku delete nka archive bila kujua
.
.
Nmemwacha asepe ntamchek ksho morning atakuw katulia nawaza sound za kumpa hapa nampenda sana jaman huyu bibie ndo wife material wangu. Huyu bibie kajitoa sana kwangu ananipenda sana najuta hapa akinisamehe naahidi kutuliaa .
.
.
Usisiamin smart phone ako jaman unaweza futa hata picha zote afu moja ikabakia, smartphone zinanisnitch sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkiambiwa iphone co cm mnabisha... Tecno hainaga huo ujinga cjui wa kuarchive ...ukifuta umefuta na ucpokuwa makini inafuta mpaka phone book...NAKAZIA tena wanabodi usiiamini smartphone yako hata siku moja leo yamenikuta makubwaa. Zimepita kama 2weeks bila kuonana na bibie, sasa leo si tukapanga tutoke out tukainjoy.
.
.
bhasi kwakuwa najua kuna vimchepuko nachat navyo sana si nikafuta uchafu wote nikawa kidume najiamini kifua mbele
.
.
Leo nimemimit na bibie akachukua cm kama kawaida ya wanawake wanachokitafutaga huwa wanakipata, leo ilikua siku yake ya kukipata anachokitafuta.
.
.
Hta haikuchukua zaid ya dk3 naona bibie kabadilika sura tyr, ile kurudsha sim naona chats zote za mchepuko hata sikuamini, alichofanya akanambia nashukuru amelegea htr zile chats ni htr kwa afya wakuu emesepa zake nmejarib mwomba wapi.
.
.
Ujinga nlofanya siku delete kumbe nili archive chat kwa iphone user wanajua wkt wa kufuta chat kuna option 2 huwa znakuja sasa me siku delete nka archive bila kujua
.
.
Nmemwacha asepe ntamchek ksho morning atakuw katulia nawaza sound za kumpa hapa nampenda sana jaman huyu bibie ndo wife material wangu. Huyu bibie kajitoa sana kwangu ananipenda sana najuta hapa akinisamehe naahidi kutuliaa .
.
.
Usisiamin smart phone ako jaman unaweza futa hata picha zote afu moja ikabakia, smartphone zinanisnitch sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums




Archive ipo kwenye simu za tekno, kipindi natumia simu zao nilikuwa naona.Mkiambiwa iphone co cm mnabisha... Tecno hainaga huo ujinga cjui wa kuarchive ...ukifuta umefuta na ucpokuwa makini inafuta mpaka phone book...
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂 delete all.Mkiambiwa iphone co cm mnabisha... Tecno hainaga huo ujinga cjui wa kuarchive ...ukifuta umefuta na ucpokuwa makini inafuta mpaka phone book...
Sent using Jamii Forums mobile app
halelluyah ... mchungajiKuna vitu hata sio vya kujisifia mbele ya kadamnasi, nafikiri ungeanza wewe kwa kuona aibu kabla ya kututahadharisha.
Hapa warning ingekuwa "tunapaswa kuwa waaminifu kwetu na kwa wale wanaotuzunguka".
Huyo mchepuko anajua kama yeye mchepuko au !??? Kama hajui ulaaniwe kwa kuwachezea watoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeharib kaz ausio
au nia yake tujue anatumiaIPhone? ???
nishakulewa mzee baba. Mambo ya references.. Basi download app's zinazoweza kuficha secret details
mkuu kwan ulimkuta bikra uyo bibie? na kama ulikuta kizibo washafungua bas nae huwa anachepuka usijipe shida let her go acha ufala afu mwanamke ambaye anajitambua hanaga kiherehere cha kukagua sim ya boy wake we kausha atarud mwenyew uyo
Mkiambiwa iphone co cm mnabisha... Tecno hainaga huo ujinga cjui wa kuarchive ...ukifuta umefuta na ucpokuwa makini inafuta mpaka phone book...
Sent using Jamii Forums mobile app



ila pole ndio ishatokea jipange kumpa sound.Mkuu muhuni nipo makini sana hapa, leo ilikua siku angu tu,
Sent from my iPhone using JamiiForums
unapendwa et? muulize kakupendea nini maana wanawake akili zao wanazijuaga wenyew, ivi unajua mwanamke anaweza kukupenda pasipo sababu yoyote ile ila wanaume tunapenda kwa sababu ana kitu flan, asa wew ndo unaonekan umependa ila ujijui anakudekea tuMkuu hujawai pendwa wewe, demu akikupenda serius lazma awe na wivu na ww atataman uwe wake pekee hata taka kushare na mtu. Hatopenda uwe na marafik wa kike. Hiv vitu kama havija kukuta huwez juaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
NAKAZIA tena wanabodi usiiamini smartphone yako hata siku moja leo yamenikuta makubwaa. Zimepita kama 2weeks bila kuonana na bibie, sasa leo si tukapanga tutoke out tukainjoy.
.
.
bhasi kwakuwa najua kuna vimchepuko nachat navyo sana si nikafuta uchafu wote nikawa kidume najiamini kifua mbele
.
.
Leo nimemimit na bibie akachukua cm kama kawaida ya wanawake wanachokitafutaga huwa wanakipata, leo ilikua siku yake ya kukipata anachokitafuta.
.
.
Hta haikuchukua zaid ya dk3 naona bibie kabadilika sura tyr, ile kurudsha sim naona chats zote za mchepuko hata sikuamini, alichofanya akanambia nashukuru amelegea htr zile chats ni htr kwa afya wakuu emesepa zake nmejarib mwomba wapi.
.
.
Ujinga nlofanya siku delete kumbe nili archive chat kwa iphone user wanajua wkt wa kufuta chat kuna option 2 huwa znakuja sasa me siku delete nka archive bila kujua
.
.
Nmemwacha asepe ntamchek ksho morning atakuw katulia nawaza sound za kumpa hapa nampenda sana jaman huyu bibie ndo wife material wangu. Huyu bibie kajitoa sana kwangu ananipenda sana najuta hapa akinisamehe naahidi kutuliaa .
.
.
Usisiamin smart phone ako jaman unaweza futa hata picha zote afu moja ikabakia, smartphone zinanisnitch sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unauliza nini sasa ?Hivi kama upo katika mahusiano na unadai unampenda kiasi hiko kwanini unachepuka?
Na kamsifia eti wife material kajitoa kwake sana, siku akipata kiruka njia atatuliaSasa tabu zote za nini mzee baba? Kujichosha na mamichepuko kibao bila sababu za msingi na mwanamke wako anakufeel kinoma!