Angalizo; (picha ndani zinatisha) maajabu ya mazishi ya Tibet, Mongolia, China

Ningekuwa na uwezo ningelazimisha nikifa nipigwe kiberiti majivu yangu yakatupwe baharini nipotee kabisa, Masuala ya makaburi siyapendi basi tu hata nikisema bado watanizika nyumbani wananzengo!..
Mkuu kumbe tupo wengi
Mimi naogopa sana kaburi aisee
Mambo yangu yakuenda vizuri ntaacha wosia nichomwe moto tu
 
Hakuna sehem wanachoma maiti hapa tz, ili nikifa nichomwee?
Ipo mkuu sema ya wahindi pale mitaa ya kijitonyama,nilishashuhudia mwalimu wangu akichomwa....mie pia nina mpango huo huo,naogopa sana suala la kuzikwa angali hai so bora nichomwe tu
 
vultures (Tai) wala mizoga hawa then inafanyika ibada ya mwisho kwa kuwapa hawa tai waule ule mwili kama sehemu ya ibada ya kukamilisha safari yake ya peponi ikiaminika kwa kuwapa Tai basi roho ya mtu aliekufa itapelekwa hadi mbinguni kwa Mungu na mhusika atauona ufalme wa Mungu haraka na kwa uhakika zaidi sababu wao kwao wanaamini kwa vile Tai anaruka umbali mrefu zaidi angani basi atafika haraka kwa Mungu na pia wanaamini hawa Tai ni sehemu ya malaika wa Mungu wanaowasiliana nae kutokana na kukaribia mbinguni.
Naendelea kujifunza, Haya mapokeo yao
 
Utachafua hali ya hewa..namna nzuri ya mazishi ni kuzikwa ardhini ili wale minyoo na funza wachukue madini na mbolea ya mwili mwako wapeleke ardhini na ardhi ipate rutuba ya kutosha ili kuifanya dunia iwe endelevu..yaani sustainable environmental world.

Njia ya kuzika ni njia sahihi sana ili kuirecycle world's Flora and
Fauna.

Dunia hii inarecycle kila kitu hii. Usichomwe utachafua hali ya hewa na ozone layer.

Zikwa ardhini ili uwe recycled na kuwa mbolea ya Dunia ili Dunia iwe endelevu na yenye rutuba.

Mother Earth first.
Swadakt
 
Back
Top Bottom