Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,303
- Thread starter
- #61
Unaandika lakini mkuu?Naendelea kujifunza kweli, Dunia ina mambo mengi
Unaandika lakini mkuu?Naendelea kujifunza kweli, Dunia ina mambo mengi
jirani aibiwe alafu nikae kimya!acha niwe mshamba ipo siku na mimi yatanikuta kama hayo,Acha ushamba
hahahahahahahahajirani aibiwe alafu nikae kimya!acha niwe mshamba ipo siku na mimi yatanikuta kama hayo,
Ndio maana siku zote usicheze na imani ya mbwiga imani ni kitu kingine kabisa.Huo ni udharirishaji vuta picha dingi ako analiwa hvo utajisikiaje?
unamaanisha mbwiga mbwiguke?Ndio maana siku zote usicheze na imani ya mbwiga imani ni kitu kingine kabisa.
Muumini wa kiafrika.unamaanisha mbwiga mbwiguke?
kama wewe hapoMuumini wa kiafrika.
Haswa niliyelishwa matango pori.haha.kama wewe hapo
hakuna kinachopotea hata tai wanakufa na still nutrients zitapatikana tu kwa ajili ya mimeaUtachafua hali ya hewa..namna nzuri ya mazishi ni kuzikwa ardhini ili wale minyoo na funza wachukue madini na mbolea ya mwili mwako wapeleke ardhini na ardhi ipate rutuba ya kutosha ili kuifanya dunia iwe endelevu..yaani sustainable world.
Njia ya kuzika ni njia sahihi sana ili kuirecycle world Flora and
Fauna.
Dunia inarecycle kila kitu hii. Usichomwe utachafua hali ya hewa na ozone layer.
Hiyo dini nadhani wanafikiri roho iko kwenye nyama.hakuna kinachopotea hata tai wanakufa na still nutrients zitapatikana tu kwa ajili ya mimea
Sawa mkuu kaka yake faiza