Angalizo kwa baadhi ya wana JF

Angalizo kwa baadhi ya wana JF

Habar za Chief ziko poa sanaaaa km kwako !!.

Zinaogopwa sababu JF society ndogo sana ambayo yanayofanyika humu ni Recycling process ,, humu ndio mahali pekee ukisikia "Mtandao unaupata" na wala hawaogopi .

Ukimwi upo ,anayejifanya kutouona kuna mawili----
Anangoma kabisaa ,kwaiyo anawapoteza watu ( siunajua shetan nishetani).
Anafanya sanaaaaaaa ngono zembe alafu nimwoga kupima sasa anajipa Moyo ( Haupo ).

Nachofurahia ,, siku izi wanajitokeza watu mbali mbali kuzungumzia ...Sure Africans ndio binadam pekeee wasoogopa Ukimwi.
kwahiyo kumbe kuna watu wanakulana humu pasikuwa wanandoa?
 
Habarini wanajamvi,

Heri ya mwaka mpya.

Leo imenibidi nitumie ID ingine.
Kuna wana jf humu ndani sijui ndo stress au nini? utakuta bi dada kapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote anatoka nao kimapenzi tena pekupeku bila hata kujali magonjwa, mkaka nae the same same thing, ni kitu kibaya sana kwa maisha tuliyonayo sasa ni hatari mno, hatuangalii nyuma yetu kuna akina nani wanatuangalia ( hapa nasemea kwa wenye familia kama za kwetu wenye madogo nyuma yetu na wazazi/walezi wanaotuangalia), wazazi/walezi hawafurahishwi na haya mambo, hivi ni mzazi/mlezi gani angependa kuona mwanae anaishia kumeza ARVs?!? . Ukimwi ni hatari sana jamani, kumeza dawa kila siku si mchezo, Tuwe aangalifu, we have to use ABC
Abstain from sex, Be careful,use Condom.
Alamsiki
Umegundua umepangwa foleni namba ngapi?mwenzetu inaomesha una uzoefu wa kutongoza JF. Hebu shusha ushahidi vinginevyo utafanya kauli ya Trump ionekane kweli...shithole
 
Back
Top Bottom