Angalizo kwa baadhi ya wana JF

Angalizo kwa baadhi ya wana JF

Aidha wewe ndo umewapanga au umepangwa sasa unaamua kuja kututaarifu na fake id. Ungekuwa muungwana ungekuja na id yako ya cku zote na kutoa ushauri. By the way asante kwa ushauri
 
Kutokana na nyuzi za aina hii kuwepo na hii siyo ya kwanza huwa najikuta naamini kwa asilimia kubwa tu kwamba haya yapo na yataendelea kuwepo.

Ila yale Mazwazwa ndio yatakayoangamia.
 
Habarini wanajamvi,

Heri ya mwaka mpya.

Leo imenibidi nitumie ID ingine.
Kuna wana jf humu ndani sijui ndo stress au nini? utakuta bi dada kapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote anatoka nao kimapenzi tena pekupeku bila hata kujali magonjwa, mkaka nae the same same thing, ni kitu kibaya sana kwa maisha tuliyonayo sasa ni hatari mno, hatuangalii nyuma yetu kuna akina nani wanatuangalia ( hapa nasemea kwa wenye familia kama za kwetu wenye madogo nyuma yetu na wazazi/walezi wanaotuangalia), wazazi/walezi hawafurahishwi na haya mambo, hivi ni mzazi/mlezi gani angependa kuona mwanae anaishia kumeza ARVs?!? . Ukimwi ni hatari sana jamani, kumeza dawa kila siku si mchezo, Tuwe aangalifu, we have to use ABC
Abstain from sex, Be careful,use Condom.
Alamsiki
Well said mkuu UKIMWI upo wapendwa endeleeni kueka eka na kuekwa ekwa ovyo.
 
Kutokana na nyuzi za aina hii kuwepo na hii siyo ya kwanza huwa najikuta naamini kwa asilimia kubwa tu kwamba haya yapo na yataendelea kuwepo.

Ila yale Mazwazwa ndio yatakayoangamia.
Mazwazwa
 
habari chief!
kwann zinaogopwa wasema?
Habar za Chief ziko poa sanaaaa km kwako !!.

Zinaogopwa sababu JF society ndogo sana ambayo yanayofanyika humu ni Recycling process ,, humu ndio mahali pekee ukisikia "Mtandao unaupata" na wala hawaogopi .

Ukimwi upo ,anayejifanya kutouona kuna mawili----
Anangoma kabisaa ,kwaiyo anawapoteza watu ( siunajua shetan nishetani).
Anafanya sanaaaaaaa ngono zembe alafu nimwoga kupima sasa anajipa Moyo ( Haupo ).

Nachofurahia ,, siku izi wanajitokeza watu mbali mbali kuzungumzia ...Sure Africans ndio binadam pekeee wasoogopa Ukimwi.
 
Hii ni jamii kama jamii nyingine!! Yaliyomo humu yapo mitaani pia. La zaidi ni kuwa makini tuu!!!

Asante kwa angalizo pia!!!
 
Back
Top Bottom