Angalizo kwa baadhi ya wana JF

Angalizo kwa baadhi ya wana JF

nyarutarama

Member
Joined
Dec 20, 2017
Posts
13
Reaction score
13
Habarini wanajamvi,

Heri ya mwaka mpya.

Leo imenibidi nitumie ID ingine.
Kuna wana jf humu ndani sijui ndo stress au nini? utakuta bi dada kapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote anatoka nao kimapenzi tena pekupeku bila hata kujali magonjwa, mkaka nae the same same thing, ni kitu kibaya sana kwa maisha tuliyonayo sasa ni hatari mno, hatuangalii nyuma yetu kuna akina nani wanatuangalia ( hapa nasemea kwa wenye familia kama za kwetu wenye madogo nyuma yetu na wazazi/walezi wanaotuangalia), wazazi/walezi hawafurahishwi na haya mambo, hivi ni mzazi/mlezi gani angependa kuona mwanae anaishia kumeza ARVs?!? . Ukimwi ni hatari sana jamani, kumeza dawa kila siku si mchezo, Tuwe aangalifu, we have to use ABC
Abstain from sex, Be careful,use Condom.
Alamsiki
 
Mkuu kama umetombe.wa achana nae tu...wacha watu waendelee na maisha wanayopenda
 
Hii ni taarifa ya uchochezi, yenye uzandiki, iliyojaa wivu na chuki na kusheheni woga na wasiwasi wa maisha, pambana na breakup na kibamia chako
 
Habarini wanajamvi,

Heri ya mwaka mpya.

Leo imenibidi nitumie ID ingine.
Kuna wana jf humu ndani sijui ndo stress au nini? utakuta bi dada kapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote anatoka nao kimapenzi tena pekupeku bila hata kujali magonjwa, mkaka nae the same same thing, ni kitu kibaya sana kwa maisha tuliyonayo sasa ni hatari mno, hatuangalii nyuma yetu kuna akina nani wanatuangalia ( hapa nasemea kwa wenye familia kama za kwetu wenye madogo nyuma yetu na wazazi/walezi wanaotuangalia), wazazi/walezi hawafurahishwi na haya mambo, hivi ni mzazi/mlezi gani angependa kuona mwanae anaishia kumeza ARVs?!? . Ukimwi ni hatari sana jamani, kumeza dawa kila siku si mchezo, Tuwe aangalifu, we have to use ABC
Abstain from sex, Be careful,use Condom.
Alamsiki
umeshajua sababu kubwa ni nini
 
Mkuu mapenzi sio mahabusu kwamba kutoka hadi uwekewe dhamana kama unaona umebanwa chapa mwendo!
Kusikia kwa kenge hadi atoke damu puani na masikioni.
 
Habarini wanajamvi,

Heri ya mwaka mpya.

Leo imenibidi nitumie ID ingine.
Kuna wana jf humu ndani sijui ndo stress au nini? utakuta bi dada kapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote anatoka nao kimapenzi tena pekupeku bila hata kujali magonjwa, mkaka nae the same same thing, ni kitu kibaya sana kwa maisha tuliyonayo sasa ni hatari mno, hatuangalii nyuma yetu kuna akina nani wanatuangalia ( hapa nasemea kwa wenye familia kama za kwetu wenye madogo nyuma yetu na wazazi/walezi wanaotuangalia), wazazi/walezi hawafurahishwi na haya mambo, hivi ni mzazi/mlezi gani angependa kuona mwanae anaishia kumeza ARVs?!? . Ukimwi ni hatari sana jamani, kumeza dawa kila siku si mchezo, Tuwe aangalifu, we have to use ABC
Abstain from sex, Be careful,use Condom.
Alamsiki
Umejuaje yote hayo?
 
Sijaja muda kidogo hapa...nakuja nakuta ujinga mwingi...

Naondoka tena.
 
Back
Top Bottom