Angalizo kuhusu nakala za vitambulisho vya taifa

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Angalizo..

Pindi unapotoa photocopy kitambulisho chako cha Utaifa, na mtoaji akakwambia kimetoka vibaya, hakikisha unachukua na nakala ile iliyotoka vibaya. Watoaji Hawa wa photocopy wengi wao wana tabia ya kuziuza kwa wahalifu ili wasajili line za simu na kufanya uhalifu wa kimtandao ambao mwishoni unaweza ukaingia wewe matatizoni.

Tafadhali mtaarifu na mwenzio.
 
Angalizo!!!!
Pindi unapotoa photocopy kitambulisho chako cha Utaifa, na mtoaji akakwambia kimetoka vibaya, hakikisha unachukua na nakala ile iliyotoka vibaya. Watoaji Hawa wa photocopy wengi wao Wana tabia ya kuziuza kwa wahalifu ili wasajili line za simu na kufanya uhalifu wa kimtandao ambao mwishoni unaweza ukaingia wewe matatizoni. Tafadhali mtaarifu na mwenzio.
hili suala ni ngumu kwa mantiki hiyo, maana kusajili itashindikana kwa sababu hakutakuwa na matching kati ya finger print ya msajiliwa na ile uliyochukuliwa NIDA.

Msihofu, labda kama ni case nyingine ila si ya kusajili laini
 
Mashine za utambuzi wa alama za vidole bado hazijafika sehemu kubwa ya nchi
hili suala ni ngumu kwa mantiki hiyo, maana kusajili itashindikana kwa sababu hakutakuwa na matching kati ya finger print ya msajiliwa na ile uliyochukuliwa NIDA.

Msihofu, labda kama ni case nyingine ila si ya kusajili laini
 
Ni ule usajili kwa mawakala alama huja baadae kuthibitisha usajili... Kwahiyo kama anataka kutumia fasta unakuwa tayari ushaumia... Kumbuka alama za vidole bado hii huduma haijafika kote nchini

Boss wangu sasahivi hatusajiri laini kwa photocopy za vitambulisho..
Unaenda na kitambulisho original kinapigwa picha palepale..kikionekana vizuri pande zote mbili,..nawewe unapigwa picha ukiwa umesimama
Ndio usajiri wa kawaida unakua umekamilika
 
Ahsante kwa taarifa.. sikuhizi umekuwa mtoto mwema😎😜
 
Sidhani kama kuna namna yoyote mtu anaweza kutumia kitambulisho cha mtu kusajili line yake. Labda mwenye kitambulisho ndio aende akakusajilie wewe kisha akupe line.

Kusajili inataka kitambulisho, kisha na wewe upigwe picha na ifanane na ya kwenye kitambulisho , lasivyo hauwezi kusajili line yako.

Hivo hivo kwenye alama za vidole, finger print zinatakiwa zifanane na details mfano majina yatakayotokea kwenye hiyo fingerprint yako yaonekane kwenye line yako.

Sasa hapo labda tuseme wezi watatumia kiuhalifu, wakaibe mahali kisha waache kitambulisho chako.
 
Kimanto
Boss wangu sasahivi hatusajiri laini kwa photocopy za vitambulisho..
Unaenda na kitambulisho original kinapigwa picha palepale..kikionekana vizuri pande zote mbili,..nawewe unapigwa picha ukiwa umesimama
Ndio usajiri wa kawaida unakua umekamilika
Kimantiki uko sahihi kabisa lakini wasajili line ukiwapa buku 5 tu wanakufanyia maarifa.... Nitaenda kufanya hivyo na nitaleta mrejesho hapa
 
Hannah huu usajili wa mashine uko mijini tu sehemu kubwa ya nchi haujafika... Hata hivyo vimashine havijafika kila kona ya nchi
Sidhani kama kuna namna yoyote mtu anaweza kutumia kitambulisho cha mtu kusajili line yake. Labda mwenye kitambulisho ndio aende akakusajilie wewe kisha akupe line.

Kusajili inataka kitambulisho, kisha na wewe upigwe picha na ifanane na ya kwenye kitambulisho , lasivyo hauwezi kusajili line yako.

Hivo hivo kwenye alama za vidole, finger print zinatakiwa zifanane na details mfano majina yatakayotokea kwenye hiyo fingerprint yako yaonekane kwenye line yako.

Sasa hapo labda tuseme wezi watatumia kiuhalifu, wakaibe mahali kisha waache kitambulisho chako.
 
Boss wangu sasahivi hatusajiri laini kwa photocopy za vitambulisho..
Unaenda na kitambulisho original kinapigwa picha palepale..kikionekana vizuri pande zote mbili,..nawewe unapigwa picha ukiwa umesimama
Ndio usajiri wa kawaida unakua umekamilika
Watu wanashindwa kuelewa hili, hakuna usajili hata uwe wa haraka, bila muhusika kuwepo ni Impossible. So Mtu akichukua kopi ya kitambulisho ni ngumu kwenda kusajilia laini, labda kama anaishu nyingine lakini sio kusajili laini.
Usajili wa kawaida unahusisha kupiga picha ya muhusika wa kitambisho na picha ya kitambulisho chenyewe na sio kopi,
Upande wa fingerprints bila ya kidole cha muhusika hamna usajili hapo.
 
Watu wanashindwa kuelewa hili, hakuna usajili hata uwe wa haraka, bila muhusika kuwepo ni Impossible. So Mtu akichukua kopi ya kitambulisho ni ngumu kwenda kusajilia laini, labda kama anaishu nyingine lakini sio kusajili laini.
Usajili wa kawaida unahusisha kupiga picha ya muhusika wa kitambisho na picha ya kitambulisho chenyewe na sio kopi,
Upande wa fingerprints bila ya kidole cha muhusika hamna usajili hapo.

Naam ndio mambo yapo hivyo kwa sasa hakuna ujanja janja kwenye kusajili lini..labda ujanja ufanyike huko juu kwa wakubwa wenyewe sio kwa mawakala
 
Back
Top Bottom