Angalizo: Kama huna point usithubutu kabisa

Angalizo: Kama huna point usithubutu kabisa

Tafadhali rafiki ndugu najamaa wote,

Usitumie namba 0759919873 endapo huna jambo la maana na lenyekujenga.Toa hoja ya maana kwakutumia hekima na busara. Pia ileweke namba hyo si kwaajili ya uchumba wara ndoa, kama unania hiyo pia usithubu kabisa.

You must be intellectually challenged; wahi Milembe! Bs.
 
Umburura huu...... Mbona wengine namba zetu zimezagaa mitandaoni na hakuna mambo yakipuuzi ndo tuseme upo serious na maisha au wewe ndo mrembo sana? Watu wa hivyo ndo mnamegwa kirahisi
 
Lol. Atakuwa anasaka mchumba. Ila kwa hesabu za fasta huyu ni husband beater
 
Lol. Atakuwa anasaka mchumba. Ila kwa hesabu za fasta huyu ni husband beater

Who's this?

Big%20Bad%20Wolf.jpg
 
unajishuhulisha bure tu, sie wala hatuna shida na namba yako. namba yako nenda kaianike facebook ndo watakuchangamkia fastaaa
 
Back
Top Bottom