Angalizo: Kama huna point usithubutu kabisa

Angalizo: Kama huna point usithubutu kabisa

suzy daniel

Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
57
Reaction score
10
Tafadhali rafiki ndugu najamaa wote,

Usitumie namba 0759919873 endapo huna jambo la maana na lenyekujenga.Toa hoja ya maana kwakutumia hekima na busara. Pia ileweke namba hyo si kwaajili ya uchumba wara ndoa, kama unania hiyo pia usithubu kabisa.
 
Nani alikwambia anataka kutumia namba hiyo au ndio unai promote
 
Maskini dada wewe unavyohangaika na wanaume,umekosa nini jamani?
 
Mie sina nia ya uchumba wala ndoa nina nia ya kugonga tu na kusepa tena kamoja tu. Unasemaje?
 
Mweeeh..! Kwani ina nini hii namba..? Vizuri kama ungetoa mwanga kidogo tujue hiyo namba inahusika na masuala gani vinginevyo hunitendei haki (nausemea moyo wangu) na unavunja haki yangu ya kikatiba ya kupata nyuzi kwa nyia hata ya simu..
 
dah alafu inaita asee binti ana sauti ya wizi huyu
 
MAELEZO~ni kwamba huyu dada alitoa hiyo namba kwa ajili ya urafiki wa kuchati/ then ashampata mtu wake hivyo msijusumbue tena kumpigia.
 
E bwanae eeeehhhh kunani tena! mtoto mashallah wewe, nikikupata wallah tena nitakukula bila kachumbari!
 
MAELEZO~ni kwamba huyu dada alitoa hiyo namba kwa ajili ya urafiki wa kuchati/ then ashampata mtu wake hivyo msijusumbue tena kumpigia.
Ayaaaaaa nishakatwa tayari! ndorobo weee!!! moja hiyo vocha kikanunulie bundle ya kupepelea JF!
 
Haya ndio madhara ya kupigwa mtungo mtu anatoka huko na kuleta mada za ajabu ajabu.

Wewe binti usipende kula hela za watu,unaona sasa umepigwa mtungo hadi hujielewi. Nina mashaka hata kabangi imeliwa kwenye huo mtungo.
 
Back
Top Bottom