ANGALISHO:Watumiaji wa VODACOM

Mbona Tangzo lao lasema 24hrs sasa huu si utakuwa uhuni.
Ila sidhani unaweza kuta ni technical error si unajua mitambo imestuka na iyo rate mpya am kidding.
Wanajua watz ni bora liende hamtaquerry
 
Voda inachosha sema tu mtu huwezi kutupa line unakaa nayo tu kwa kupokea simu za shamba
 
lakini wamesema kuwa kuanzia saa kumi na moja hadi saa tatu ndo haipo hiyo huduma ya sh 1 kwa sekunde.
 
hawa awtu waongo. wezi wakubwa . sasa hata hiyo cheka ya 500 haipatikani na hiyo shilingi kwa sekunde haipo ni wizi mtupu
 
Poleni sana. Ila matangazo yao yapo wakati wa kuangalia salio. Ukiangalia salio hata sasa hivi. unapata meseji kama hii hapa

Halafu hawa Voda walivyo wabahiri sijui kwa nini. Kwa nini isiwe siku nzima mfululizo kama TIGO?

Nani aliwaambia mwende huko??? Rudini kundini (.........:rolleyes:)
 
Tatizo la wezi ni kwamba daima hawaridhiki hata ukiwapa nini watakuibia tu

Dah! Mkuu umenifurahisha sana hapo; umenikumbusha yule Mbunge wa Chunya aliyeshangaa mafisadi kumwaga fweza jimboni kwake kwa minajili ya kumng'oa ilhali yeye hana ugomvi nao. Umenena haswa: katu wezi hawaridhishwi!
icon10.gif
 
Jamani watumiaji wa vodacom ikifika saa 11 jioni gharama ni zilezile msijisahau nasikitika kwanini voda hawakutangaza kuwa mwisho ni saa 11 jioni hii imenikuta mimi baada yakuongea najua naongea kwa sh 60 kwa dk kumbe naongea kwa 4** kwa dk nikajikuta nimemaliza pesa yangu yoote kwenye simu.

This is not enirely correct. Jana VodaCom walitoa matangazo (full page) kwenye magazeti na kutoa angalizo kwamba kati ya saa 11 jioni hadi 3 usiku tarrif inabadilika. Vile vile Mafuru wa Vodacom alikuwa TBC1 na Marin Hassan jana asubui akatoa angalizo kama hilo.
 
Hii ni kazi ya kitengo cha ushindani wa biashara nadhani kitakuwa wizara ya biashara na viwanda au chini ya TIC (sina hakika) kazi yake inapaswa kuangalia kama kuna fair play kwenye hii game ya soko huria na ushindani au kila mtu anapuyanga kivyake vyake.
Kwa kuwa hapa ni suala la kuangalia kama mlaji (mteja anafanyiwa fair) nadhani pia tume ya bei inapaswa kutia mkono katika hili.

Lakini kwa kuwa bongo kila kitu tambalale voda wanapiga bao kwa kuwadanganya wateja wao na kwa kuwa nao ni sehemu ya familia zilizofanikiwa nani amfunge paka kengele?

Pole sana TP.
 
Jamani watumiaji wa vodacom ikifika saa 11 jioni gharama ni zilezile msijisahau nasikitika kwanini voda hawakutangaza kuwa mwisho ni saa 11 jioni hii imenikuta mimi baada yakuongea najua naongea kwa sh 60 kwa dk kumbe naongea kwa 4** kwa dk nikajikuta nimemaliza pesa yangu yoote kwenye simu.

Mpendwa ThinkPad ukiangalia Salio kuna maandishi haya: -

"Habari ndio hii, Tsh 1 kwa sekunde, Voda kwa Voda siku nzima, Kila siku (isipokuwa saa 11 jioni hadi saa 3 usiku).

Pole kwa yaliyokupata.
 
Jamani watumiaji wa vodacom ikifika saa 11 jioni gharama ni zilezile msijisahau nasikitika kwanini voda hawakutangaza kuwa mwisho ni saa 11 jioni hii imenikuta mimi baada yakuongea najua naongea kwa sh 60 kwa dk kumbe naongea kwa 4** kwa dk nikajikuta nimemaliza pesa yangu yoote kwenye simu.
Bure ghari................. tunapenda sana vya bure ndo maana tunaibiwa kirahisi mnoooooooooooo
 
so sad! unasikitika nini? unaona uchungu gani kutumia hela bana? tatizo husomi habari, ndugu na wala usiwalaumu voda. usipende sana vya chee ndugu. mia nn4 kitu gani?

Wewe sasa unatoa mpya ila sio tatizo lako
 
Janja ya nyani kula mahindi mbichi wanatuyeyusha hawa kwanini wasiseme wazi hii hai-apply kuanzia saa 5pm-9pm na kwa sasa wanatumia nguvu nyingi mno kujitangaza kama hii picha hapa...

attachment.php

Hawa jamaa wahuni wa kibiashara.
 
acheni kuchonga watu wa voda kwani mmeshikiwa SMG muwe na hizo line? ufisadi tuu wa kikaburu hapo hamna lolote, wamechuna hadi hawana hamu wanavyopata hela nyingi!duh mitz bana, kama mimi ningeweza pata software watz wote mngejikuta mpo tigo!umaskini mnalialia hata sh4 tuu.sasa si uhame uje kwa sh1 for 24hrs?
 
Mliobaki VODA mpaka leo, mnapenda kuibiwa.. Msilalamike.

Niko na voda tangu ilipoanza nashindwa kuhama maana watu wote wanajua namba ya voda nafikiria kuwa nalazimika kuwaambia woote kuwa nimehama sasa. Lakini nimewakinai haswa hao Voda.
 
Jamani watumiaji wa vodacom ikifika saa 11 jioni gharama ni zilezile msijisahau nasikitika kwanini voda hawakutangaza kuwa mwisho ni saa 11 jioni hii imenikuta mimi baada yakuongea najua naongea kwa sh 60 kwa dk kumbe naongea kwa 4** kwa dk nikajikuta nimemaliza pesa yangu yoote kwenye simu.
Pole sana hiyo ni DECI accademia!!!
 
Back
Top Bottom