Angalieni simu zenu WCF wanaita

Angalieni simu zenu WCF wanaita

Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....
Mimi Mbona Sijapigiwa, wakati Nilijibu maswali yote kwa Ufasaha. Acheni Uzushi Basi..
 
Mimi Mbona Sijapigiwa, wakati Nilijibu maswali yote kwa Ufasaha. Acheni Uzushi Basi..
Unayo marking scheme? Itabidi ujiangalia sana kwa kujiamini huko.
 
d

duh. wameweka mbali sijui kwanini wapo slow yani written mwez wa 3 oral wa 7 kazini sindioitakua mwakani
Inaweza ikawa kabla ya sikukuu ya X.mass mkuu japo inaonekana matokeo yatakua Dec.na kuriport January 2018!
 
Bado wanaiita hadi leo au ndio changa la moto
 
Back
Top Bottom