Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Hii ni laana kubwa sana! Sijui CCM ni mzimu gani jamani! Walishajenga utamaduni wa kuficha na kufumba fumba maovu hata kama vitu ni obvious kama hili! Yaani unaweza amini kwamba kuna wacanada wamesikia uchungu mpaka kufikia kuandamana lakini kwetu wale wanaojitokeza kupinga unyama huu wanakamatwa na kufungwa na hata kuuwawa!
Tanzania, Tanzania...........! It is time to stand! It is time to shout!
Nina ilaani serikali! Nina kilaani CCM
Tanzania, Tanzania...........! It is time to stand! It is time to shout!
Nina ilaani serikali! Nina kilaani CCM