Mmiliki Dowans akagua mitambo.
Hii hapa wala sio mkanda wenyewe wa picha nzima ambayo Riziwani Kikwete na January Makamba walijitosa kuucheza kuwasaidia wazee wao na maswahiba kwenye kwenye hii kashfa nzito, mnachokiona hivi sasa ni utangulizi tu!!
Huyu Bilionea wa kuchonga analipwa posho kubwa ajabu kwa thamani ya dola kwa ujio wake kuja kucheza sehemu hii kwenye mkanda mzima ambayo kiuhakika DINI YAKE na ile ya wenyeji wake hairusu hata kidogo.
Jicho la tatu la jumuiya ya kimataifa pengine nao wakafikiria kusajili waungwana wote hawa na wengine wengi tu kwenye msururu mzima kwenda "Holywood" kuucheza uzuri zaidi picha hii.
Waziri kivuli wa Nishati na madini tafadhali fungua macho zaidi na ujitahidi kuona!!!