Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,847
wapi team november hebu jisajilini hapa!
naanza na mimi mwenywe na
Na mie nimooo!!
wapi team november hebu jisajilini hapa!
naanza na mimi mwenywe na
mie nlizaliwa may from my moms woumb then nikawekwa kwenye chupa coz nilizaliwa njiti then from chupa nikatolewa august. Sasa according to KILITIME hapo nna tabia za miezi miwili au?
Mambo yote December, hatukuja kukumbatia shida na matatizo hapa duniani, raha jipe mwenyeweeeeee!
Ni kweli kabisa dah decemberangalia mwezi uliozaliwa ujue tabia zako;Jan;jasiri na mkorofiFeb:mwenye bahati na mkweliMar:msumbufu lakini mzuriApr:anajali na ni mpiganajiMay:anaupendo na ulio halisiJun:mwenye mvuto wa mapenzi na kiu ya kujua mamboJul;amebarikiwa vipaji na ana busaraAug;makini na mchapa kaziSep;anaelewa haraka na ni mzuri wa suraOct;anakwenda na wakati na ni rafiki mwemaNov;anakipaji na ni mbunifuDec; mtu wa starehe tuu!!!!!!!!!!Vipi je wewe ni mzaliwa wa mwezi gani?? tafadhali usibadili kulingana na tabia za mwezi wako na jee unaonaje matokeo vp yana ukweli???
Mie pia wa Dec.ila starehe sizifagilii kivile ingawa ninapokuwa ninazo huwa nafanyafanya kiasi,Ugali kwa mbuzi choma,mapande,kitimoto,ndizi choma PLUS vi-bia viwili vitatu ahh.. vinanifanya na mimi nijione nastahili kuishi kwenye hii Dunia,maisha yenye mawili haya KILITIME nisipofanya vistarehe kidogo ndo inakuwaje sasa!