Mnacomment bila hata kuusoma msichotaka ni migogoro kwenda kusuluhishwa na third part na hapo mbona mkataba huu ulioleta tena wa mwaka 90 na wamesema wazi migogoro itaenda kushughlikiwa kwenye mahakama ya kimataifa nje ya sweden au emirati na wahusika kwenye hio mahakama ikiwemo wanatoka katika nchi hizi zinazoingia mkataba hawataruhusiwa kusuluhisha kwenye arbitration atateuliwa mwingine. Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wetu.
Kwani hapo wamesema wanawekeza kwenye nini? Sisi tunatetea sheria yetu ya Ulinzi wa Mali Asili za nchi ya mwaka 2017 inasema.
1. Mikataba yoyoteinayohusu Rasimali Asili za Taifa itakayosainiwa na serikali lazima ikaidhinishwe na Bunge.
Kipengere hiki kinaenda kinaondolewa automatic na Mkataba huu wetu na Dubai cos mkataba umetamka mikataba hiyo itakuwa ni siri, na ndiyo maana serikali inapeleka marekebisho Bungen mwezi 9 kifungu hicho kinaenda kueditiwa mikataba iishie kwenye Baraza la Mawaziri.
Historia ya uwepo wa kifungu hiki inatokana na mikataba ya madini iliyosainiwa huko nyuma mpaka kuja kufukuzana na Acacia Mining cos ilikuwa mikataba mibovu kwaiyo kipindi hiko ikaona iweke kipengere hicho ili umma ujie Viongozi wao wanafanya nini katika rasimali zao.
2. Sheria pia inasema migogoro yoyote inayohusu Rasimali asili za nchi itasuruhishwa katika mahakama zetu za ndani.
*Sheria inasema hivi alafu waliosaini mkataba wamesaini usuruhishi ufanyike Africa Kusini! Hii ni kinyume na sheria zetu na ndiyo maana umeona Mahakama inasema imekubaliana na walalamikaji juu mkataba huu kuvunja sheria zetu.
Kwaiyo tunaotetea, tunatetea kwa mujibu sheria yetu inavyotaka.
Huo mkataba wa Sweden na UAE wala haujaelekeza Kampuni fulani ndiyo inaenda huku tu! Na ndiyo mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi na ndiyo maana haujaweka eneo specific kama Bandari etc.
Ila we tu una maeneo specific kabisa na kampuni imetajwa kabisa, sasa jiulize tumesaini mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi au nchi na kampuni?