nyalujama
JF-Expert Member
- Sep 4, 2020
- 221
- 342
Ha haHizi akili za ajabu sana, kichwa kinachomiliki akili kama hii kinahitaji kubinywa na Winji hadi kipasuke.
Ha haHizi akili za ajabu sana, kichwa kinachomiliki akili kama hii kinahitaji kubinywa na Winji hadi kipasuke.
Jamaa huwa ana block watu wanaomkosoa anazingua.Nimekuja shtuka majuzi kuwa jamaa kaniblock.
Mimi ningependa watu wa-focus zaidi kwenye value ya maisha. Not just mere papers.Yote ni ubatili mtupu...ridhika na kile ulichonacho kama unakula, unakunywa, ,unavaa na unalala kwa amani piga goti sema asante Mungu
Mediocre mindset...Mungu kakupa akili ana sababu yake, sio kukaa tu muda wote unasali, kumbuka hata wanyama hutafuta chakula kwa jasho huko misituni, sembuse sisi tuliopewa akili za ziada, huwa nawacheka sana watu wenye kauli za kipumbavu kama, hii dunia tuliikuta tutaiacha, hapa ndio kisingizio chao hili cha kutojibidisha.
Mimi namtumikia Mungu Sana..lakini sikusudi la Mungu...Mimi winning sperm niwe Fakiri...niwe ombaomba...Ni ipi mantiki ya kumtaja Mungu inapoongelewa mada ya mafanikio/utajiri/uchumi ??
Kwanini sioni akitajwa Mungu inapozungumziwa Kula matunda/kulala/kuendesha magari/kufanya mazoezi/KuLike/Nyuzi za picha za miji/ Wasafi na Konde gang nk kote sioni sentensi za namna hii Once mtu akitaja mafanikio/utajiri Mungu atatajwa na Kifo... WHY THAT??
Inanishangazaga sana, anatakaga tu mazombi ya ndio mzee. Hicho ndicho kilimkimbiza Twitter hadi leo.
Kule Twitter kakutana na vichwa vinampelekea motoInanishangazaga sana, anatakaga tu mazombi ya ndio mzee. Hicho ndicho kilimkimbiza Twitter hadi leo.