Angalia maisha yako ya sasa, yalinganishe na miaka 10 iliyopita kisha visualize miaka 10 ijayo utakuwa wapi

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Kama kuna kitu unafanya naomba uachane nacho kwa dadika 3 tu, usome hii post kwanza.

Sijui financial status yako lkn angalia maisha yako ya sasa, yalinganishe na miaka 10 iliyopita kisha visualize miaka 10 ijayo utakuwa wapi. Kama unakosa majibu mazuri jua tu bado unacheza.

Miaka 10 ni MINGI sana kuweza kuona matunda ya uwepo wako duniani. Watu wote walioacha alama duniani walihitaji at least miaka 10. Waangalie kina CR7 na Messi, angalia founders wa unicorn companies kina Elon, Larry Page etc, angalia wanasiasa km Putin, Angela Merkel nk. Angalia BTC in 10 yrs. Diamond alikua Tandale 2008, up until 2018 alikua amefika global stages. Mifano ni mingi sana;

Tupo hapa 2021, tutakuja kukutana tena 2031, je utakuwa wapi? Kuna mtu anasoma hii post ana miaka 30, jua tu miaka 10 utakuwa 40 yrs. Imagina upo 40s unagombania daladala na wanafunzi wa form 3, unaishi chumba cha 50K, upo ktk zamu ya wapangaji ya kusafisha choo 😥

Leo unaweza kujiona mjanja, unakimbizana na vitoto Kidimbwi, unajisifia umekalewesha bia ukakachapa goli ma3, unajisifia vitu vya kijinga. Unajiona mtoto at 26 yrs, so una-prioritize kwenye vitu vya kijinga, miaka 10 kutoka leo hautakuwa mtoto tena. Jamii itataka ione value of your age, hakuna mtu atakua excited na ww eti kisa kuna siku ulimlewesha mtoto wa watu ukamkamua vitatu. Wote tunajua ule ulikua utoto, lakini sasa hivi una miaka 36 tuonyeshe umefikia wapi.

Unachokifanya LEO either ni jambo la upuuzi au jambo la maana, miaka 10 itatuambia, na wala hatuhitaji kukuuliza, vitu vinaongea vyenyewe. Guys miaka 10 tunayoizungumzia sio mingi sn, si unakumbuka juzi tu tulikua unakula mwaka mpya, leo tunaitafuta April. Km leo unachekwa jiwekee miaka 10 watafute waliokua wanakucheka, wallah huko baadae tutakua tunakwepana kutokana na aibu. ANZA LEO ili 2031 uwe na cha kutuonyesha.

Credits: Sirjeff Deniis
 
Cha msingi ni kuishi miaka yetu na tuondoke, dunia hii ilikuwepo miaka ma-billion na tutaiacha - kushindana nayo kwa kukumbuka yaliyopita na yajayo ni kujichosha tu!

Nawashangaa wanaowaua binadamu wenzao wakati nao watakufa tu.
 
Bora kuwakumbusha watu neno la Mungu tu hakuna utofauti kati ya maskini na tajiri wakati wote tunashare the same destiny.
Mungu kakupa akili ana sababu yake, sio kukaa tu muda wote unasali, kumbuka hata wanyama hutafuta chakula kwa jasho huko misituni, sembuse sisi tuliopewa akili za ziada, huwa nawacheka sana watu wenye kauli za kipumbavu kama, hii dunia tuliikuta tutaiacha, hapa ndio kisingizio chao hili cha kutojibidisha.
 
Bora kuwakumbusha watu neno la Mungu tu hakuna utofauti kati ya maskini na tajiri wakati wote tunashare the same destiny.
Hakuna maisha mazuri kama ya kumcha mwenyezi Mungu mwingi wa rehema!
Ni ipi mantiki ya kumtaja Mungu inapoongelewa mada ya mafanikio/utajiri/uchumi ??

Kwanini sioni akitajwa Mungu inapozungumziwa Kula matunda/kulala/kuendesha magari/kufanya mazoezi/KuLike/Nyuzi za picha za miji/ Wasafi na Konde gang nk kote sioni sentensi za namna hii Once mtu akitaja mafanikio/utajiri Mungu atatajwa na Kifo... WHY THAT??
 
Ni ipi mantiki ya kumtaja Mungu inapoongelewa mada ya mafanikio/utajiri/uchumi ??

Kwanini sioni akitajwa Mungu inapozungumziwa Kula matunda/kulala/kuendesha magari nk??
Yani mwenyrwe huwa nashangaa sana.

Haya mambo yalipandikizwa enzi za ukoloni ili wao waendelee kula mali zetu huku sisi tupo tupo tu
 
Nimeingia kwenye aptitude test nikiwa na hirizi nne lakini nimejiona powerless na mweupeeeee kichwani. Anzia tu hapo
 
Yani mwenyrwe huwa nashangaa sana.

Haya mambo yalipandikizwa enzi za ukoloni ili wao waendelee kula mali zetu huku sisi tupo tupo tu
Hizi akili za ajabu sana, kichwa kinachomiliki akili kama hii kinahitaji kubinywa na Winji hadi kipasuke.
 
Kama kuna kitu unafanya naomba uachane nacho kwa dadika 3 tu, usome hii post kwanza.

Sijui financial status yako lkn angalia maisha yako ya sasa, yalinganishe na miaka 10 iliyopita kisha visualize miaka 10 ijayo utakuwa wapi. Kama unakosa majibu mazuri jua tu bado unacheza.

Miaka 10 ni MINGI sana kuweza kuona matunda ya uwepo wako duniani. Watu wote walioacha alama duniani walihitaji at least miaka 10. Waangalie kina CR7 na Messi, angalia founders wa unicorn companies kina Elon, Larry Page etc, angalia wanasiasa km Putin, Angela Merkel nk. Angalia BTC in 10 yrs. Diamond alikua Tandale 2008, up until 2018 alikua amefika global stages. Mifano ni mingi sana;

Tupo hapa 2021, tutakuja kukutana tena 2031, je utakuwa wapi? Kuna mtu anasoma hii post ana miaka 30, jua tu miaka 10 utakuwa 40 yrs. Imagina upo 40s unagombania daladala na wanafunzi wa form 3, unaishi chumba cha 50K, upo ktk zamu ya wapangaji ya kusafisha choo 😥

Leo unaweza kujiona mjanja, unakimbizana na vitoto Kidimbwi, unajisifia umekalewesha bia ukakachapa goli ma3, unajisifia vitu vya kijinga. Unajiona mtoto at 26 yrs, so una-prioritize kwenye vitu vya kijinga, miaka 10 kutoka leo hautakuwa mtoto tena. Jamii itataka ione value of your age, hakuna mtu atakua excited na ww eti kisa kuna siku ulimlewesha mtoto wa watu ukamkamua vitatu. Wote tunajua ule ulikua utoto, lakini sasa hivi una miaka 36 tuonyeshe umefikia wapi.

Unachokifanya LEO either ni jambo la upuuzi au jambo la maana, miaka 10 itatuambia, na wala hatuhitaji kukuuliza, vitu vinaongea vyenyewe. Guys miaka 10 tunayoizungumzia sio mingi sn, si unakumbuka juzi tu tulikua unakula mwaka mpya, leo tunaitafuta April. Km leo unachekwa jiwekee miaka 10 watafute waliokua wanakucheka, wallah huko baadae tutakua tunakwepana kutokana na aibu. ANZA LEO ili 2031 uwe na cha kutuonyesha.

Credits: Sirjeff Deniis
Future ni Leo na kamwe siamini katika past. Ni mtazamo tu, usijenge chuki;).
 
Sijui unazungumzia kiuchumi, kifinencial, kiakili, kielimu, au ki mwili?
 
Mungu kakupa akili ana sababu yake, sio kukaa tu muda wote unasali, kumbuka hata wanyama hutafuta chakula kwa jasho huko misituni, sembuse sisi tuliopewa akili za ziada, huwa nawacheka sana watu wenye kauli za kipumbavu kama, hii dunia tuliikuta tutaiacha, hapa ndio kisingizio chao hili cha kutojibidisha.
Ni kweli Kama dunia utaiacha kile ulichotafuta watalithi vizazi vyako, Kama tunavyoweka mafao ya uzeeni ukiyaacha watapewa wategemezi wako na ndo roho ya kutokuwa mbinafsi kuishi kwa ajili yako tu bila kujali utakao waacha.
 
Kama kuna kitu unafanya naomba uachane nacho kwa dadika 3 tu, usome hii post kwanza.

Sijui financial status yako lkn angalia maisha yako ya sasa, yalinganishe na miaka 10 iliyopita kisha visualize miaka 10 ijayo utakuwa wapi. Kama unakosa majibu mazuri jua tu bado unacheza.

Miaka 10 ni MINGI sana kuweza kuona matunda ya uwepo wako duniani. Watu wote walioacha alama duniani walihitaji at least miaka 10. Waangalie kina CR7 na Messi, angalia founders wa unicorn companies kina Elon, Larry Page etc, angalia wanasiasa km Putin, Angela Merkel nk. Angalia BTC in 10 yrs. Diamond alikua Tandale 2008, up until 2018 alikua amefika global stages. Mifano ni mingi sana;

Tupo hapa 2021, tutakuja kukutana tena 2031, je utakuwa wapi? Kuna mtu anasoma hii post ana miaka 30, jua tu miaka 10 utakuwa 40 yrs. Imagina upo 40s unagombania daladala na wanafunzi wa form 3, unaishi chumba cha 50K, upo ktk zamu ya wapangaji ya kusafisha choo

Leo unaweza kujiona mjanja, unakimbizana na vitoto Kidimbwi, unajisifia umekalewesha bia ukakachapa goli ma3, unajisifia vitu vya kijinga. Unajiona mtoto at 26 yrs, so una-prioritize kwenye vitu vya kijinga, miaka 10 kutoka leo hautakuwa mtoto tena. Jamii itataka ione value of your age, hakuna mtu atakua excited na ww eti kisa kuna siku ulimlewesha mtoto wa watu ukamkamua vitatu. Wote tunajua ule ulikua utoto, lakini sasa hivi una miaka 36 tuonyeshe umefikia wapi.

Unachokifanya LEO either ni jambo la upuuzi au jambo la maana, miaka 10 itatuambia, na wala hatuhitaji kukuuliza, vitu vinaongea vyenyewe. Guys miaka 10 tunayoizungumzia sio mingi sn, si unakumbuka juzi tu tulikua unakula mwaka mpya, leo tunaitafuta April. Km leo unachekwa jiwekee miaka 10 watafute waliokua wanakucheka, wallah huko baadae tutakua tunakwepana kutokana na aibu. ANZA LEO ili 2031 uwe na cha kutuonyesha.

Credits: Sirjeff Deniis
Aisee We Jamaa Umeongea Point Saanaa tena Saaana hongera kwako.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom