Angalia kwanini hupaswi kunywa soda

Angalia kwanini hupaswi kunywa soda

The Dude

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
1,029
Reaction score
461
Hii soda nimenunua hata haijafunguliwa..kuna visoda na mauchafu ya ajabu.
Huo ni ule uchafu tunaouona kutokana na oversight ya industrial process. Swali,vipi ule tusiouona?chemical defects?etc? 1378536062204.jpg
 
Na watoto wetu tunapenda kweli kuwanunulia Soda!!!
 
Hela hiyo wewe alaah,
Ili kuficha aibu hiyo ukienda nayo kiwandani nadhani hutatoka kapa, iihifadhi vizuri J3 damka nayo kiwandani kama upo mkoa mmojawapo unaotengeneza hz brand!
 
Afadhali azam cola kuliko Pepsi/Coke, hao wanasalitiana sana. Nami kuna siku nilikuwa na Mirinda orange na kilikuwepo kisonda ndani yake.
 
Ungeipeleka hiyo soda kimyaa kimyaa hadi kiwandani ungelipwa kwa usumbufu uliokupata,lakini kwa ujinga na umbeya usipokuwa nao umeharibu jina la kampuni hawatakulipa hata ukienda. Zaidi ya hapo watakushitaki kwa kutia uchafu huo na kuwaharibia biashara yao. Kweli akili ni nywele kila mtu ana yake!
 
Mimi nilikwisha wahi toa pini kubwa kwenye soda. Nilichoka
 
Ungeipeleka hiyo soda kimyaa kimyaa hadi kiwandani ungelipwa kwa usumbufu uliokupata,lakini kwa ujinga na umbeya usipokuwa nao umeharibu jina la kampuni hawatakulipa hata ukienda. Zaidi ya hapo watakushitaki kwa kutia uchafu huo na kuwaharibia biashara yao. Kweli akili ni nywele kila mtu ana yake!

Haya matukio yako mengi. Binafsi ishatokea mara moja tena ilikua ni pepsi.Usifkiri kila mara mtu unataka kutake advantage. I only wanted to shed some light to the hitherto clueless. Like you said,tunatofautiana that is only as far as your brains could go. I went beyond that. If at all i had the time to juggle btn my stuffs and ths,I would've rather attempted a lawsuit nt for the money but to set precedent.
 
Nasikia kuna jamaa amewahi kuta kondomu kwenye soda....
 
Haya matukio yako mengi. Binafsi ishatokea mara moja tena ilikua ni pepsi.Usifkiri kila mara mtu unataka kutake advantage. I only wanted to shed some light to the hitherto clueless. Like you said,tunatofautiana that is only as far as your brains could go. I went beyond that. If at all i had the time to juggle btn my stuffs and ths,I would've rather attempted a lawsuit nt for the money but to set precedent.

Jibu zuri sana kwa wenye tamaa ya pesa kama distazo!!
 
Back
Top Bottom