Picha hii inaonesha Kichwa cha Ng'ombe katika tawi la mti wa mbuyu ni katika hifadhi ya taifa ya Selous, hii ingefaa kuingia katika maajabu 7 ya dunia kuliko mlima Kilimanjaro.
Kwa kweli Pepim,
Tunahitaji kuchunguza sana katika nchi yetu kwamba kuna vitu gani vya maajabu vinavyopatikana, Mlima Kilimanjaro ni wa kawaida hakuna lolote la ajabu ndo maana haijashinda!
Kuna vitu vingi sana vya ajabu naamini vipo nchini sema hatujavizungumzia ama hatujavigundua kama lile la daraja la Mungu linalopatikana huko Tukuyu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.