Angalau hii ingefaa kuingia kwenye maajabu 7 ya Dunia

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
9,481
14,326
Picha hii inaonesha Kichwa cha Ng'ombe katika tawi la mti wa mbuyu ni katika hifadhi ya taifa ya Selous, hii ingefaa kuingia katika maajabu 7 ya dunia kuliko mlima Kilimanjaro.

100_5284.JPG
 
Haaa!Ama kweli duniani kuna maajabu......Je hakuna mbuyu unaofanana na viungo fulani vya binadamu huko?
 
Haaa!Ama kweli duniani kuna maajabu......Je hakuna mbuyu unaofanana na viungo fulani vya binadamu huko?

Kwa kweli Pepim,
Tunahitaji kuchunguza sana katika nchi yetu kwamba kuna vitu gani vya maajabu vinavyopatikana, Mlima Kilimanjaro ni wa kawaida hakuna lolote la ajabu ndo maana haijashinda!

Kuna vitu vingi sana vya ajabu naamini vipo nchini sema hatujavizungumzia ama hatujavigundua kama lile la daraja la Mungu linalopatikana huko Tukuyu!
 
Back
Top Bottom