Anga ya nchi ya Iran inakwepwa kama ukoma

Anga ya nchi ya Iran inakwepwa kama ukoma

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
7,073
Reaction score
20,318
Yaani hapa ndege zote zinazofanya safari kati ya ulaya na Asia mashariki zinaikwepa anga ya Iran kama Ukoma yaani.

Hapa hakuna shirika la ndege lita risk ndege yake iruke kwenye anga la Muajemi kwa kigezo cha short route
20260116_205549.jpg
 
Munch wa Annabelle aliwahi mpamalamia Chizi Maarifa kwenye inbox ili amchambue makalio ila mwamba maarifa alikataa😂😂

Ogopa mwanaume anajiita anna alafu kwenye profile amesuka

Hilo bwabwa chafu sana kafir hilo. Huwa linatia kichefu chefu. Lilinifuata kutaka eti nikalipelekee moto. Nikalikataa mpaka leo linanichukia sana... Limekuwa kama tu lina kichaa au mimba yangu. Likiniona tu linaanza kujisikia kuharisha.
 
Back
Top Bottom