Android Tv Box......


Nimekuelewa chief kwa bongo zinapatikana wapi na bei yake inaendaje?
 
Out of box kivipi??
kwani haifai kupachika modem kawaida kama pc vile??
kila kifaa kina namna yake ya kutengeneza kama watengenezaji hawajaeka feature ya usb na modem usitegemee iwepo hivyo utatakiwa wewe mnunuaji uliangalie hilo kabla
 
Ping ni nn? Huwa nalisikia sana hili neno
 
kwa wanaouliza Modem android tv box aina ya M8S ukiingia eBay utaoneshwa inaingizwa modem

Ila alternatively unaweza kutumia WiFi au LAN

Ila pia Chief Mkwawa kuna thread alisema Device yoyote inayo support OTG ina support 3G hope it applies here
 
Aisee ww umefanyaje,mm ninayo na nimejaribu kutumia wifi lkn inasearch tu muda wote,ni kawaida kutumia muda mrefu kutafuta network?

Kama umetumia WiFi kwenye simu za android basi hauwezi shindwa sababu hii device nayo inatumia android ukienda kwenye settings ni kuwasha tu WiFi.

Mind you hizi device nyingi ikiwepo PC ukiwa ume remember password ya WiFi ukibadili kidogo haitoweza ku connect mpaka uende kwenye list ya WiFi ufanye "Long press" then unafanya kuchagua "FORGET".
 
kwa wanaouliza Modem android tv box aina ya M8S ukiingia eBay utaoneshwa inaingizwa modem

Ila alternatively unaweza kutumia WiFi au LAN

Ila pia Chief Mkwawa kuna thread alisema Device yoyote inayo support OTG ina support 3G hope it applies here
yap unaweza ila hio sio out of the box itabidi uanzea mambo ya kuroot na kuanza kumod, mwisho wa siku unaweza ukakibrick kabisa.

ni vyema mtu atafute ambayo tayari inaingia modem unachomeka na kuconect
 
hii pc ya m73 naweza kuipata wapi,nipe number ya muuzaji

 
uhuru nzima zipo zimejaa kibao madukani bei kuanzia laki 1
Leo nimezunguka k/koo nzima kuanzia Msimbazi mpaka Uhuru android tv box hakuna na wengi hawazijui mkuu..vp kuna duka spesheli unajua zinakopatikana?
 
Leo nimezunguka k/koo nzima kuanzia Msimbazi mpaka Uhuru android tv box hakuna na wengi hawazijui mkuu..vp kuna duka spesheli unajua zinakopatikana?
zipo mkuu, mi nimeziona congo/uhuru kama unaenda msimbazi/uhuru ukipita tu kwa nje madirisha yao ya vioo unaziona. unless wana jina jengine wanatumia tofauti na tv box. pia wapo wauzaji wa online
MX4 Quad Core Android TV Box – Wi-Fi, Dar es Salaam699939

hio link ya online ni capricon wapo jamhuri na morogoro road.
 
Umeendelea kuthibitisha umahiri wako ktk hili jukwaa mkuu.nashukuru kwa maelekezo yako....nitafuatilia tena j3.halafu mahali zinapouzwa ni maduka ya computer au yale ya tv,deck,etc???
 
Umeendelea kuthibitisha umahiri wako ktk hili jukwaa mkuu.nashukuru kwa maelekezo yako....nitafuatilia tena j3.halafu mahali zinapouzwa ni maduka ya computer au yale ya tv,deck,etc???
computer mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…