Baada ya miaka mingi kupitia hatimaye Google wamefanya Mabadiliko kwenye app ya phone call kwa Watumiaji wa simu za Android.
Lakini pia kwa Watumiaji wa iphone walifanyiwa Mabadiliko kupitia ios 26 , lakini mpaka leo ๐ mtumiaji wa simu ya iphone akipigiwa simu hakuna sehemu ya kukata ๐ au nawasinigizia aiseeeh.
Your browser is not able to display this video.
Lakini android unaweza kukata simu ya mtu aliyekupigia nani katisha kati ya iphone na Android tuachie maoni yako??