Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

mkuu nahitaji msada wa kublock adds maana apps za free nnazotumia km goal.com ni had inaboa bt nashangaa most of apps za kulipia hzina adds

Mara nyingi waandaaji wa apps wanaruhusu kudownload bure kwa kuwa wanategemea adds ziwaingizie kipato. Kwa hiyo kama app inauzwa basi hakuna haja ya kuweka adds kwa kuwa kipato kinapatikana kutoka kwenye mauzo hayo.
 
Mara nyingi waandaaji wa apps wanaruhusu kudownload bure kwa kuwa wanategemea adds ziwaingizie kipato. Kwa hiyo kama app inauzwa basi hakuna haja ya kuweka adds kwa kuwa kipato kinapatikana kutoka kwenye mauzo hayo.

Ili kutumia apps za android bila kupata usumbufu wa adds kuna njia mbili ya kwanza ni kuroot simu njia hii inaitaji uwe na ujuzi wa kufanya rooting.. njia ya pili ni kudownload app unayoitaka kwa kutumia app nyingine ya U.torrent na hapo utaweza kupata apps za android bure bila matangazo. Chakufanya kila unapo search app unayoitaka kwa kutumia U torrent andika jina la app iyo kisha malizia na Apk.
 
mkuu nahitaji msada wa kublock adds maana apps za free nnazotumia km goal.com ni had inaboa bt nashangaa most of apps za kulipia hzina adds
kama ume root simu yako unaweza kureplace host file na custom file aliiweka humu Mwl.RCT ila uzi siukumbuki,
 
Last edited by a moderator:
kama ume root simu yako unaweza kureplace host file na custom file aliiweka humu Mwl.RCT ila uzi siukumbuki,

mkuu nahitaji msada wa kublock adds maana apps za free nnazotumia km goal.com ni had inaboa bt nashangaa most of apps za kulipia hzina adds
 
mi naomba solution ya ya jamaa alieuliza swali kwenye ile thread ya simu A na B..for sure nataka nijue ni applucation gani naeza tumia nipate sms na calls if possible na whatsaap sms za simu A..tunalea mabinti zetu inabidi tuwape somo anapoanza kumomonyoka kwa mbali
 
Wakuu Hebu tushee hapa,zipi ni best applications za android smartphone?? Hii ni categories zote wadau
 
Shazam,kwa ajl ya identfy music ukiisikilizisha simu,forza kwa ajl ya highlights za magoli n updates live video frm the pitch,ladytimer kwa galz kujua mzunguko wake safe and danger,
 
Kuna application ilikiwa inaitwa tubemate nilikuwa naitumia kudownload youtube videos&movies nimebadili simu nataka kuidownload tena lakini haipo playstore. Sijui nitaipataje. Kama kuna mtu anajua inapatikanaje anisaidie tafadhali.
 
Kuna application ilikiwa inaitwa tubemate nilikuwa naitumia kudownload youtube videos&movies nimebadili simu nataka kuidownload tena lakini haipo playstore. Sijui nitaipataje. Kama kuna mtu anajua inapatikanaje anisaidie tafadhali.

Jarbu kuitafuta kwa mozilla fire fox..kama ipo huko, I download then install. Utaipata
 
Videorder kwa ajl ya kudownload video but hii kwa sasa unaipata kwa fire fox na sio play store..instagetter kwa ajl ya kupata video na pic zlzo tupiwa na watu ktk kurasa zao..emoticons keyboard kwa ajl ya kuweka emoji ktk mitandao ya jii kama vle instagram na FB. Cymera for pic frames, pic edition etc.videosho for converting from video to audio, fast trim and video maker..zngne mpaka nchabo kwa smu huku.
Klaza @ work
 
Kuna application ilikiwa inaitwa tubemate nilikuwa naitumia kudownload youtube videos&movies nimebadili simu nataka kuidownload tena lakini haipo playstore. Sijui nitaipataje. Kama kuna mtu anajua inapatikanaje anisaidie tafadhali.

Nenda mobango.com utaikuta
 
Wakuu naomba msaada wa Program flan yakuEdit picha kwa maana kwamba unaweza kuweka Background yyt unatoka Kuna jamaa anayo sasa hataki kuniambia Nimekuja hapa nikiamini kila kiti hapa Shwari natanguliza shukrani....
 
Kuna application ilikiwa inaitwa tubemate nilikuwa naitumia kudownload youtube videos&movies nimebadili simu nataka kuidownload tena lakini haipo playstore. Sijui nitaipataje. Kama kuna mtu anajua inapatikanaje anisaidie tafadhali.

Utaipata kny mobogiene
 
Kuna application ilikiwa inaitwa tubemate nilikuwa naitumia kudownload youtube videos&movies nimebadili simu nataka kuidownload tena lakini haipo playstore. Sijui nitaipataje. Kama kuna mtu anajua inapatikanaje anisaidie tafadhali.

Ingia Google af search tubemate utaipata.
 
Hii tubemate naitafuta sana, sikumbuki version ila ilikuwa na MB kama 10 na zaidi. Kwenye Mobogenie, playstore na aptoide haipo zipo tubemate fake pia google nimeingia sijaipata. Maaada tafadhari.
 
Hii tubemate naitafuta sana, sikumbuki version ila ilikuwa na MB kama 10 na zaidi. Kwenye Mobogenie, playstore na aptoide haipo zipo tubemate fake pia google nimeingia sijaipata. Maaada tafadhari.

http://mini.samsung-gt-i9100-galaxy-s-ii.apps.opera.com/es_tz/download_0/4oriojd1oc6ns4ure10hh3gg45/0/xx/pp122775153d0b4c99f7825_05898156/tubemate_youtube_downloader.apk
 
Hii tubemate naitafuta sana, sikumbuki version ila ilikuwa na MB kama 10 na zaidi. Kwenye Mobogenie, playstore na aptoide haipo zipo tubemate fake pia google nimeingia sijaipata. Maaada tafadhari.

Nmescreen shot,nenda google search then install usiende playstore
 

Attachments

  • 1406189116281.jpg
    22.8 KB · Views: 369
Mimi mgonjwa wa Subway Suffers ila hapa nimepata application zingine usefull
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…