Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

Ndugu wana jf naomba msaada jinsi ya ku-root vodafone smart4 mini
 
wakuu naombeni nijuzeni na hili, hivi ni kweli android phones haziitaji anti-virusi apps?! maana kuna ubishi mkubwa hapa
 
Haipo huko siku hizi wameitoa, kwa hiyo ni lazima utumie jf application tu. mimi nilikuwa naitumia zaidi kipindi cha nyuma maana nakuwa connected na furum mbalimbali kupitia application moja lkn kwa sasa inakiwa shida!.

mkuu haifanyi kaz kwangu
 
Kupitia uzi huu tujadiliane kuhusu operating system ya android. Jinsi ya kuboresha simu zetu.za android, tuulizane maswali wenye majibu walete. Tuambiane app nzuri na mambo kedekede kuhusu android

wakuu i hv problem on sumsung glxy s2 kila nkifunfungua playstore inaandika connection time out.... what could b the problem
 
wakuu i hv problem on sumsung glxy s2 kila nkifunfungua playstore inaandika connection time out.... what could b the problem

Mara kwa mara tatizo hili Chief amekuwa anatuelekeza tujaribu kukagua APN zetu kama zipo kwenye mfumo wa "wap" turekebishe kuwa "internet"
 
wakuu i hv problem on sumsung glxy s2 kila nkifunfungua playstore inaandika connection time out.... what could b the problem

check internet connection kama zipo sawa clear data na cache the force stop kisha reboot
 
check internet connection kama zipo sawa clear data na cache the force stop kisha reboot

Mkuu hapa kwa tatizo hili nafanyaje????
 

Attachments

  • 1414397703800.jpg
    1414397703800.jpg
    11.1 KB · Views: 219
tujuzane wakuu, hivi huawei y530 android 4.3. jelly bean inaweza kupata upgrade to 4.4. kitkat ?!
 
Wakuu habar zenu.. . Samahan sana nilikuwa na shida kidogo natumia tecno h6 nataka kuinstall whatsapp plus lakin inagoma nifanyejeee!! Msaada plz
 
Back
Top Bottom