Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 266
- 257
Kwa wale wenzangu na mimi,wazee wa Budget Smartphones hasa tunaotumia Nokia.
Tukae mkao wa kula,ndani ya hizi siku mbili visimu vyetu vitapata Update ya Android 9 Pie Go Edition.Tunaachana na 8.1.0 Go Edition.
Tuwashukuru NOKIA kwa kutukumbuka.
Tukae mkao wa kula,ndani ya hizi siku mbili visimu vyetu vitapata Update ya Android 9 Pie Go Edition.Tunaachana na 8.1.0 Go Edition.
Tuwashukuru NOKIA kwa kutukumbuka.