Andrew akimbia Butiama baada ya wanakijiji wenye hasira kutishia kumcharaza mapanga

Pole sana. Bado wana kuandama. Halafu kwanini JF hawataki utumie ile verified acc yako?
Maxence Melo
 
Ile Peugeot yako iko wapi?..... kila mara huwa naikumbuka
 
If you come from richest family or loyal family then you try to focus on Ego , probably ur power ,mind and ability all of these will taken FASTER AND YOUR HEAD WILL REMAIN EMPTY.

there's big lesson to learn from Nyerere's family about this shit and negativity

How comes the first born Andrew Nyerere to end up in surviving life and not in living life, that is pain

Lightous be by ur side
 
Wewe mhaya nini? Kujifanya Kingereza kingi wakati hauelewi kukiandika vizuri.

Andika Kiswahili unachefua.

cc Anna Tibaijuka
Dr. Gwajima D
 
Sometimes kichaa hua kinakupanda na kushuka!!?
Nani alikudanganya kuwa kichaa kina kupanda na kushuka? Kakisome vizuri, elimu kiganjani, wacxha kuendeshwa na waganga wa kienyeji na mizimu isiyokuwa na maana.

Kuwa kichaa siyo ugonjwa, mbaya ni kuwa mwendawazimu, huo ndiyo ugonjwa wa kudumu.

Kichaa ni kama mafua tu, unayo au huna. Kwisha.
 
Hivi jina Poppy si ndiyo jina analopewagwa Mbwa? Nakumbuka nikiwa mdogo nilikuwa na kimbwa nakiita Poppy!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…