Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Ugali kitimoto hakuna anaepiga hiyo kitu 😋

Kwa junk food ni pizza🍕 yaani i can literally kill for a slice of pizza
 
Mbalaga(ndizi)

Hizi upikwa kwa mchanganyiko wa
nyama&utumbo
nazi&karanga
pilipil ya kunukia na kuwasha kwa mbaaaali
njegere

Then zikiwa kwenye sahani kubwaa zikifuka moshi wenye harufu taamu kwa kusindikizwa na juisi moja saaaafi ya bariiidiiiiiiiiii ama mirinda nyeusi ikikosekana pepsi ya bariiidi.

Aloo hii kitu ni nomaa mwanamke akipatia kupika hii kitu nitaoa kwa mahali apendayo yeye na chenji abaki nayo
 
Back
Top Bottom