Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,272
Machalari oyeeee 🔥Ndizi zile za moshi ziwekwe nyama ya kutosha plus nazi, naimaliza siku vizuri sana. Wali maharage/chapati na roast nyama hapa pia nafsi huburidika .
Machalari oyeeee 🔥Ndizi zile za moshi ziwekwe nyama ya kutosha plus nazi, naimaliza siku vizuri sana. Wali maharage/chapati na roast nyama hapa pia nafsi huburidika .
Nina vingi 😂😂😂
Taja kimoja tuNina vingi 😂😂😂
Junk food kwa lugha laini ya kiswahili ni?Ugali kitimoto hakuna anaepiga hiyo kitu
Kwa junk food ni pizzayaani i can literally kill for a slice of pizza
Ugali dagaa 😂😂😂😂😂Taja kimoja tu
+ mlenda😋😋😋Ugali dagaa 😂😂😂😂😂
wali maharage hiki chakula kimekosa mpinzani.Wali wa nazi na maharage ya nazi, siku iyo moyo nahisi unatoka kupunga hewa ya huku nje.
Utakua mnyiramba wewe🤣+ mlenda😋😋😋
Unakula had unafurahia mwenyewe
Utaharibu hali ya hewa wewe😆
😂😂Utaharibu hali ya hewa wewe😆
Daah umejuajeUtakua mnyiramba wewe🤣
😋Ugali, maharage,samaki,kachumbari
Oooh si unajua wewe ni...fake?😂🤣Daah umejuaje
Ndio ..... fake, umelenga mule mule😂Oooh si unajua wewe ni...fake?😂🤣
Nimetaja.Ndio ..... fake, umelenga mule mule😂
Utaje chakula chako basi nikijue
😋😋😋Nimetaja.
Makange ya kuku + ndizi 2 mzuzu uloiva kidogo.
Shushia na wine kidogo aaah