DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wanaukumbi,
Nimezaliwa Urambo na sasa ni wakati wa Babu Samwel Sitta kupumzika kwa mabaya na mema aliyoyafanya.
Ni maneno ya Andrew Paul Maganga mtangaza nia na mwajiriwa wa Tamisemi anayeieneza CHADEMA huko Urambo Tabora.
Kijana huyu yupo nyuma ya mafanikio ya makamanda wa CHADEMA ktk uchaguzi wa serikali za mitaa Urambo Tabora.
Ameeleza kuwa wana urambo wapo tayari kuutua mzigo Sitta uliokuwa umejikalia Dar muda Mrefu yeye na familia yake.
'Nasikia Babu kaenda jimboni leo kujipitishapitisha ila kwa bahati mbaya Shughuli yake na Magamba wenzake imeisha muda mrefu'.
Nimezaliwa Urambo na sasa ni wakati wa Babu Samwel Sitta kupumzika kwa mabaya na mema aliyoyafanya.
Ni maneno ya Andrew Paul Maganga mtangaza nia na mwajiriwa wa Tamisemi anayeieneza CHADEMA huko Urambo Tabora.
Kijana huyu yupo nyuma ya mafanikio ya makamanda wa CHADEMA ktk uchaguzi wa serikali za mitaa Urambo Tabora.
Ameeleza kuwa wana urambo wapo tayari kuutua mzigo Sitta uliokuwa umejikalia Dar muda Mrefu yeye na familia yake.
'Nasikia Babu kaenda jimboni leo kujipitishapitisha ila kwa bahati mbaya Shughuli yake na Magamba wenzake imeisha muda mrefu'.