Mkuu Gaijin, hata wewe?, kipi hasa usichoelewa?!.
Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!, japo Mungu ana nguvu zaidi ya shetani, lakini hawezi kumuangamiza shetani simply because the mwanzo wa Mungu ndio mwanzo ule ule wa shetani na the source of power ni ile ile source ya powers za Mungu!.
Tofauti katika ya nguvu za Mungu na shetani ni kidogo tuu, "uhai" ambapo ni nguvu za Mungu tuu ndizo zenye iwezo wa kuleta "uhai" na kuuondoa!. Ndio maana kila kifo kinaitwa ni kazi ya Mungu hata kama kimekuwa initiated na shetani, ajali, uchawi, ugoni, wizi, ujambazi, vita etc, punzi ya uhai inaondoka kwa kibali cha Mungu pekee!, vivyo hivyo kwa mwanzo wa maisha hata mimba ikitungwa kwa vitendo vya ushetani, ubakaji, ukahaba, uzinifu, uasherati, mwenze uwezo wa kutia uhai hicho kiumbe, ni Mungu tuu!.
Mkuu Kiranga, nadhani tatizo ni lugha, hebu twende kwa Kiswahili.Hujarudia, umesema kitu tofauti.
Hapo mwanzo umesema "Mungu ni concept tu" sasa umebadili unasema "mungu ni concept" big difference.
Which is which? Mungu ni concept au ni concept tu?
Unajua tofauti yake?
Mwaka mpya wangu bado mie.
Kama Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!, source ya hizo nguvu za Mungu huko alikozipata, ndiko huko huko shetani alikozipata, then shetani ana nguvu kama za Mungu kiasi kwamba Mungu hawezi kumuangamiza shetani, japo nguvu za Mungu ni zaidi kidogo tuu ya nguvu za shetani, kilicho zidi ni ule uwezo wa Mungu kutia uhai na kuuondoa tuu, not more not less!.K
Unachokisema hapa ni tofauti na ulichokisema mwanzo.
"Shetani ana nguvu kama Mungu" ni tofauti na "Shetani ana nguvu, na Mungu ana nguvu" na ni tofauti na "Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!"
Hii mada ni ya mafilosopher kama una elimu ya kata utii mguu
Kama Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!, source ya hizo nguvu za Mungu huko alikozipata, ndiko huko huko shetani alikozipata, then shetani ana nguvu kama za Mungu kiasi kwamba Mungu hawezi kumuangamiza shetani, japo nguvu za Mungu ni zaidi kidogo tuu ya nguvu za shetani, kilicho zidi ni ule uwezo wa Mungu kutia uhai na kuuondoa tuu, not more not less!.
Pasco.
Hii mada ni ya mafilosopher kama una elimu ya kata utii mguu
Kama ile sio ya "if" kuonyesha probability, kama ile ni ya "as long as", its "definite!".Shetani hawezi kuwa na nguvu kama za Mungu kama Mungu ana nguvu zaidi ya shetani au ndio "all animals are equal, but some animals are more equal than others"?
Of course that is kama Mungu ana nguvu
Kama ile sio ya "if" kuonyesha probability, kama ile ni ya "as long as", its "definite!"
Umejuaje kuwa unaozungumza nao ni wanawake?Ila nimekubali, zamani mijitu mibishi ilikuwa ni mijianaume tuu!, siku hizi kuna hata wanawake wabishi kuliko!,
Alihangaika kiasi gani kwenye kufanya nini? (Ukitaka kutoa sexist remarks zitowe kwa wazi kabisa sio kujivunga vunga)I wonder your first man alihangaika kiasi ngani?!
Ni kipi katika niliyoyauliza umekitafsiri kuwa ni ubishi ili niweze kupunguza?Punguza ubishi dada yangu Gaijin!.
Hakuna hiyo! Fact to fact,unataka akubali asichokubali ili asiwe mbishi? Dear gaijjin be as sceptical as you can.Kama ile sio ya "if" kuonyesha probability, kama ile ni ya "as long as", its "definite!".
Ila nimekubali, zamani mijitu mibishi ilikuwa ni mijianaume tuu!, siku hizi kuna hata wanawake wabishi kuliko!,
I wonder your first man alihangaika kiasi ngani?!
Punguza ubishi dada yangu Gaijin!.
P.
Mkuu hapo umesema yaani humu JF kuna mijitu eti ni lazima ichangie kila mada na hawataki kuziruka
Kwanini km mada huielewi usiiache
Kwanini km Jukwaa lako ni la mahusiano na mapenzi usiende huko kuchangia
Hapa km huna Elimu hiyo wewe soma tu na pita
Ipo mada ililetwa na msomi wa Seminari humu JF ikimkataa MUNGU mpaka leo siioni na tulikuwa hatuthubutu kuichangia ila ni kusoma tu Wanatheolojia wakibishana
anayefahamu ilipo anirushie
kwani sumu iliyo expire inaua?Uongo wa uongo ni uongo au ukweli?
Kama Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!, source ya hizo nguvu za Mungu huko alikozipata, ndiko huko huko shetani alikozipata, then shetani ana nguvu kama za Mungu"!.Maana hiyo ya "kama" umeitoa kwenye mamlaka gani? Tupe reference ?
Kama Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu!, source ya hizo nguvu za Mungu huko alikozipata, ndiko huko huko shetani alikozipata, then shetani ana nguvu kama za Mungu"!.
"Kama ile sio ya "if" kuonyesha probability, kama ile ni ya "as long as", its "definite!"
God has powers and devil has powers, As long as God's powers is from the same source as devil's, then the devil has the same powers as God!.
Pascal.
Hayo mengine naomba unisamehe, sisi wengine kuna watu tukijibishana nao kwa kutumia basic instinct you can tell kuwa ni mwanamke au ni mwanaume, confirmation hupatikana kwenye avatar!. Sorry!.
Pasco.
Mimi Pasco wa jf, nakiri kuwa sielewi nadharia nzima niliyojaribu kuiwasilisha na nina matatizo kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili!.Kwa hiyo kuchukua maneno ya Kiswahili ukayageuza kwa Kiingereza unachotaka wewe ndio kunathibitisha kuwa neno "kama" lina maana ya "As long as"?
Ukitaka iaminike hiyo maana ya "kama" kuwa ni kama ulivyoainisha basi njoo na reference zinazoeleweka kama kamusi sio kuthibitisha maana ya maneno ya Kiswahili kwa mamlaka yako mwenyewe.
Kukiri kuwa umechapia neno la Kiswahili na sio ulilokusudia kimaana pia inakubalika na tunaweza kuwa wa msaada kukusaidia neno au maneno mahsusi yenye maana ya "As long as"
Hadi muda huu Pascal unaonekana ama kutoelewa nadharia nzima unayojaribu kuiwasilisha au una matatizo kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili licha ya kuwa mwenyewe hutaki kukiri hilo
Hakuna aliyeomba au kutaka kuombwa msamaha. Yalikuwa ni maswali kwa maelezo yako yaliyokuwa hayajajitosheleza.
Unasema una " wonder mwanamme wangu wa kwanza alihangaika kiasi gani", ukiambiwa ufunguke "kuhangaika kwenye kitu gani" ili usaidiwe majibu upate kuacha ku-wonder kwenye mambo binafsi ya wengine, unagwaya, unakuja na samahani nyingi zisizoeleweka msingi wake.
Man up!
Mkuu Kiranga, nadhani tatizo ni lugha, hebu twende kwa Kiswahili.
Mungu ni dhana tuu ili kujenga "imani" ya kuzifungua nguvu "I" powers zilizoko ndani ya kila binadamu za kufanya mema na mabaya!. Mungu huyo anaelezwa kuwa ni "supreme being", hana mwanzo wa mwisho na yupo popote!. Wengine wanamuelezea kuwa Mungu ni roho "spirit" ambayo hukaa ndani yetu nasi ndani yake!.
Kiukweli Mungu ni "I" powers ambayo ndio mimi, wewe, yeye, yule na wao!.
Vipi hapa Bado? imetosha au niendelee?.
Pasco.
Mimi Pasco wa jf, nakiri kuwa sielewi nadharia nzima niliyojaribu kuiwasilisha na nina matatizo kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili!.
Sorry again, I neither meant to hurt you nor to make you feel bad!
P.
Mimi Pasco wa jf, nakiri kuwa sielewi nadharia nzima niliyojaribu kuiwasilisha na nina matatizo kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili and I have a reading comprehension problem!.Add reading comprehension problem
Mungu ni Imani, imani ni dhana tuu, haipimiki, haishikiki, haionekaniki, matokeo ya powers zake tuu ndizo zinazoonekana!.Kama mungu ni dhana tu, hayupo popote nje ya fikra. Ni kama "infinity". Infinity ni dhana ya kihesabu, lakini nje ya dhana huwezi kuipata infinity, haipo.
Ukianza tena mambo ya mungu ni I power sijui yuko ndani yetu ushabadili hii habari ya "mungu ni dhana tu", unaenda kumfanya mungj kuwa entity iliyo zaidi ya dhana.
Diction. Contradiction.
nimetumia mfano wa mythologies za wayahudi kwenye genesis kwa sababu ina relate na swali lako kwa nini mungu ameumba dunia yenye matatizo, cause kuna two creations kama ukiisoma vizur genesis utaiona na kwenye hizo creations moja haikua complete nyingine ilikua complete,ningeweza kutoa mythologies za sumeria za enki na enlil lakin watu wengi watakua gizan na kitu nachokiongea kwani wengi hawatumii holistic approach katika kuangalia hivi vitu wanakua biased with religion and culture
na unaweza kuamini mungu yeyote kwan katika anthropolojia tunaamin myth ni hadithi za kwel ambazo zimeathiriwa kutokana na upokeaji wake kutoka jamii moja kwenda nyingine kwa njia ya mdomo, kila mtu aliyemsimulia kizaz chake kinachofuata aidha kuna vipande alisahau au ameongeza kutokana na mazingira ya wakati huo au upungufu wa maneno kumbuka lugha ni kitu kichanga binadamu hakuanza tu kuongea alijifunza lugha kutokana na mazingira aliyokutana nayo na kazi yetu anthropologist ni kudecipher the real message ndio mana hadithi za uumbaji na matukio mengi ya zamani zinataka kufananafanana kidogo ila kila sehemu zinapinda mahali kutokana na kuathiriwa na lugha,fanan,hadhira,mazingira na wakati aliopewa mtu kama ni mwaka 1800 au 1900 mfano hadithi ya mkwawa aliyepewa mtu wa miaka ya 1890 au 1900 haifanan na ambayo tunapewa sasa kuna information nyingi hazipo na zingine zimetiwa chumvi ila ni kazi yetu kudig the truth
suala la mungu kuumba dunia is just a human reasoning katika kuelewa chanzo chake ni nini?kwani ukiangalia kila kitu ambacho tunakiona tunajua kina mwanzo,kuanzia wewe ulipozaliwa unajua baba yako na mama yako walifanya tendo la ndoa na kukupata wewe,hivyohivyuo babako nae alipatikana kwa bibi yako na babu yako na kuendelea, lakini mwisho wa siku utajiuliza nan alikua basi chanzo cha wote ?je ni cycle isiyoisha?imeanzia wapi?ndipo watu walipoanza kuangalia wanyama na wadudu suala ni hilohilo,ukiangalia miti na maua suala ni hilohilo lazima seeds zianzie sehemu,na lazima kuna sehemu hizo seeds zitakua na mazingira muafaka ili kuweza kukua,kama kupata maji,jua,udongo mzuri ili kuweza kujiumba,swali litarudi palepale nini kilianza basi?hapo ndipo kila mtu anapogawanyika kutokana na experience aliyonayo,wacape verde watasema yao,wayahudi watasema yao and you are also welcome to give your opinion on the matter whether scientific or mythological because it is the law of nature to have a cause and effect and human reasoning is based on cause and effect,na ww pia upo subjected to the law as you are looking for the cause and effect.
kumjua mungu ni lazima utoke kwenye cycle ya cause and effect(think out of the box) or else kujaribu kuprove kwa cause and effect is like subjecting God to birth,growth and death as everythingi in that cycle goes through that scenario and if its true naye yupo subject na cause and effect basi kuna uwezekano ameshakufa kitambo au ndio dunia or the living world we are inside, living inside him
Mungu ni Imani, imani ni dhana tuu, haipimiki, haishikiki, haionekaniki, matokeo ya powers zake tuu ndizo zinazoonekana!.
I think this is enough, haya ni mambo ya imani, unaweza auamini au usiamini ats all the same!, kinachowakuta waumini ni kile kile kinachowakuta wasio amini! na "yote ni ubatili tuu swa na kufukuza upepo!".
P.