Anazimia akitaka kupitia, hili ni tatizo gani?

Anazimia akitaka kupitia, hili ni tatizo gani?

mpe mpaka ashindwe alafu mtafute mwanaume baadaye uyo mvulana atakuwa kwa mungu
 
Pole yake sana...

Anamatatizo huyo kwenye mishipa yake ya ufahamu...

Inaonekana anapofikia mshindo, level ya oxygen hushuka haraka kupelekea pumzi kukata na kusikia kizunguzungu na mapigo ya moyo kushuka kwa sababu misuli yake badala ya kujiachia inajikaza kwa namna ambayo siyo sawa kwa mwili...

Mpeleke hospitali...


Cc: mahondaw
 
hahahaha Kameamka hako kavulana kako?.. Utakuja kaua mwenzio Demiss aliishia polisi kizembe tu!..
 
Pole yake sana...

Anamatatizo huyo kwenye mishipa yake ya ufahamu...

Inaonekana anapofikia mshindo, level ya oxygen hushuka haraka kupelekea pumzi kukata na kusikia kizunguzungu na mapigo ya moyo kushuka kwa sababu misuli yake badala ya kujiachia inajikaza kwa namna ambayo siyo sawa kwa mwili...

Mpeleke hospitali...


Cc: mahondaw
Waohhh.. That's my doktareeee
 
Mwambie awe na utaratibu wa kufanya mazoezi na pia awe anakunywa maji meng maybe ikasaidia
 
mvulana!! mnataka kufunga ndoa!!!!!!!
 
Mshawishi kwa maneno mazuri mwende hospital pia msisahau kufanya maombi.
Uenda kuna kitu katupiwa ili kuwavuruga kwakuwa mmeonekana mkiungana mnabaraka nyingi.

Sent from my KIW-L24 using JamiiForums mobile app

Ati mshauri pia msisahau kufanya maombi. Maombi ya kazi au?? Ka ni yakumpatia jamaa afya; Asahau kwa kuwa si Mungu wala Allah anasikiliza maombi ya wazinifu.
 
Kama mwanza hakuwa hivo na imedevelipe hivi sasa

Muulize kawaida mwanmme akikaribia au kufikia mshindo pressure yake inakuwa juu sana na mapogo ya moyo yanakuwa juu
Kama mapogo yamoyo yanashuka kuna uwezekano anatumia dawa za kuongeza hamu
Dawa hizi huwa zinashusha pressure kwa kufanya peripheral dilation ili mbo...lo ipate damu na iendelee kudinda kadiri anavyooendelea ndo inashuka na kitu kinachotokea ni kuwa damu haiendi ya kutosha kwenye ubongo

Hivo mwambie aache ajiMini na atumie chakula cha kubust

HoN
Definitely
 
Pole yake sana...

Anamatatizo huyo kwenye mishipa yake ya ufahamu...

Inaonekana anapofikia mshindo, level ya oxygen hushuka haraka kupelekea pumzi kukata na kusikia kizunguzungu na mapigo ya moyo kushuka kwa sababu misuli yake badala ya kujiachia inajikaza kwa namna ambayo siyo sawa kwa mwili...

Mpeleke hospitali...


Cc: mahondaw
sasa anafanya ngono ili iweje siatulie tu """ hahaaaa atakuja kujifia huyo Dogo aiseeee """ unafnya kitendo kinachokusakam kiasi hcho cha kazi gani sasa .....""""??? halafu eti hataki kwenda kwa doctor aiseee
 
Back
Top Bottom