Sawa, ingia inboxnipe namba yako mkuu tuwasiliane..
KaribuNipo interested na hiyo biashara tunaweza kushare idea nina kaela kangu sehemu naweza kuifanya na mimi.
Vijiji ganiKama inavyosomeka hapo juu,
Naomba yeyote anayeuza vinu vidogo vya kukoboa mpunga aje inbox, pia yeyote mwenye Mota 3 phase hp 20-Used tuwasiliane. Nataka kuanzisha biashara ya kukoboa mpunga vijijini.
Ahsante
Jamaa wanatengeza vinu kwa bei mzuri sana walitengezea kinu mwaka wa tatu kinapiga kazi vizuri wanapatika damp Tabata kuna vinu viko tayari pale ila ukitaka wakutengeze kwamaelekezo yako ni suku mbili tuKama inavyosomeka hapo juu,
Naomba yeyote anayeuza vinu vidogo vya kukoboa mpunga aje inbox, pia yeyote mwenye Mota 3 phase hp 20-Used tuwasiliane. Nataka kuanzisha biashara ya kukoboa mpunga vijijini.
Ahsante