Anayeuza meno ya Tembo anapomlaumu Ngassa!

Anayeuza meno ya Tembo anapomlaumu Ngassa!

nadhani ifike mahala watanzania tujitathimin upya tuipiganie nchi hii nimependa article yako eddo mfano tuu kiongozi mkubwa tu anasema Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu kimichezo amesahau kwamba Tanzania hiyohiyo anayoiongoza nayo kwa ujumla ni kichwa cha mwenda wazimu kwan kila kitu ki hali dhohofu mfano mdogo tu watu wengi hata jamii forums humu wapo wategemea kama gesi ya mtwara itatusaidia jiulize swali dogo tu ni lin viongoz wetu wamekuwa watakatifu mpaka amthamin mtanzania ili afaidike ktk gesi tumeshindwa ktk madini,,mbuga bandari usafiri nk. tutaweza ktk gesi miujiza gan hiyo.Tumeshindwa kuwa na shirika letu la ndege kisa viongozi watoa maamuzi wanahisa ktk mashirika mengine anaogopa shirika lake litakosa wateja.Mara nyingi ukikuta mtu anaponda article kama hiyo usimhurumie kwamba labda hana akili ujue anafaidika sana na mfumo uliopo
 
Watanzania sisi unafiki na kukosa uzalendo ni moja ya mambo yanayoturudisha nyuma...kila mtu hujiona msafi kumbe hovyo kabisa
 
C:\DOCUME~1\Chanda\LOCALS~1\Temp\msohtml1\01\clip_image001.jpg


Haya chanda umetisha
 
Edo katika ubora wako cha kusha ngaza kuna watu awaja up enda huu safi Edo!!!!!
 
eddo kumwembe haswaa simpendi kwa ukosefu wake wa adabu, 5/julay 1982 mjili lindi mtaa wa kawawa, tuko chobingo tunasubiri wahindi watoke jamatini ili mhindi mmjawapo rafiki yetu atuonyeshe mkanda wa mechi kati ya brazil na argentina world cup ya mwaka 1982, mechi iliyochezwa 2julay 1982 ambayo brazil iliibuka mshindi kwa bao 3-1.
Enzi hizo wajanja tulikuwa tunajipendekeza kwa wahindi ambao walikuwa na video kwenye jamatini zao walikwa na kanda za world cup lizokuwa zinatoka tv of zambia kwa kutumia yale mamikanda makubwa kama mikate
tulikuwa mimi wakati huo nasoma chuo kikuu nilienda lindi kufanya field work sokoine regional hospital pia alikuwepo advovate kumwembe ambae nahisi ndiye baba yake eddo kumwembe aliyekuwa anaishi ligula mtwara alikwenda lindi kwa shughuri zake za kiuwakili na rafiki yetu sengwaji aliyekuwa anafanya kazi tanesco lindi katika mechi hiyo alikuwepo yule gwiji wa kabumbu wa kizazi cha kati diego maradonna
ilikuwa hivi sengwaji alilopoka eti maradonna ni zaidi pele advocate kumwembe aling`aka na kumwamba aache kumlinganisha pele na maradonna kwa sababu maradonna hamfikanii pele hata kwa nusu.
Mala nyingi nimeona katika articles zake nyingi huyu dogo kumwembe anamponda pele mbele ya maradonna wakati sisi pele tumemwona na maradonna tumemwona watu hawa hawalinganishiki
kwa hiyo kuanzia hapo huwa nimwamwona dogo huyu hana nidhamu kwa hiyo kila anachosema huwa siafiki.


unahitaji muhariri wa unachikiandika m hata sielewi umeanzia wapi umemamalizia wapi
 
Edo, Edo, Edo. Ukitoka nje ya geti lako, angalia nyuma kila hatua 3. Wazee hawaambiwi mambo yao hivi. Wao wanajua kuwa wanawaongoza Wadanganyika wasioona, tena viziwi. Wao wanajua hakuna tena anayejua kitu.
2015 uwe mwaka wa mabadilikooooo. Wanajua kuwa sisi tunalalamika tuu bila kufanya. Let's give them a surprise, mpaka wazimie. Hata kama mbunge huyo ni mzuri kiasi gani, kama hakupata mpinzani wake, kwa sababu tu ya hilo lichama lililochoka tumpige chini.
Kama hana mpinzani, tusifike kwenye kituo cha kura. Tumnyanyue hata kichaa tumweke pale naye akatetee dawa zao. Sisemi hivi kwa kuwadharau vichaa hapana nasema kuwa hawana mtu wa kuwateteaaa.
Tunataka mabadiliko makubwa 2015 nayo yataletwa na mimi na wewe kwenye box la kura ili tuwaoneshe kuwa kama tume waajiri basi twaweza kuwatoa pia.
 
huyo dokta! Nimeelewa wenga tu,hayo mengine mbona sio kingon!!

Wenga nitondili..nelonda kuligana

nelonda kuligana Du Kibatu kazi kwelikweli Neloda kuligana Chigogo nahisi km anasema ataenda kutukanana naye 1982
Nikirudi kwenye Mada mm huyu EDO KUMWEMBE yani ni mabalimbali kabisa na nahisi bado ni kinda sana maana analaumu tu kila kitu, kwa hiyo ni kundi la wale wanaopiga kelele lakini kuingia madarakani au kazini itakuwa ni vituko
Mada nzima ni lawama tu tena za ki facebook
 
nchi hii itatoka tulipo siku "mimi" na sio "sisi" nitakapoamua
 
we edo wewe, hala hala, tatizo sio kuwa watanzania hawajui ukwel, tatizo mnaosema ukweli kama nyie siku hizi hamchelewi "kuvamiwa na watu wasiojulikana".
 
Shark,

This is an excellent article! Umewazunguka akina fulani hatawakashindwa wachangiaje uzi wako. Wewe ni msanii mzuri.
 
Edo sisi kwenye taifa hili tumeweza kuwaua ndugu zetu albino kwa imani za kishirikina na vikongwe wasio na hatia(hapo tulitia fora kwa kuwa hakujawahi kuwa na taifa lenye sifa hizo kama sisi.)
 
Eddo Kumwembe haswaa simpendi kwa ukosefu wake wa adabu, 5/julay 1982 mjili lindi mtaa wa kawawa, tuko chobingo tunasubiri wahindi watoke jamatini ili mhindi mmjawapo rafiki yetu atuonyeshe mkanda wa mechi kati ya Brazil na Argentina world cup ya mwaka 1982, mechi iliyochezwa 2Julay 1982 ambayo Brazil iliibuka mshindi kwa bao 3-1.
Enzi hizo wajanja tulikuwa tunajipendekeza kwa wahindi ambao walikuwa na video kwenye jamatini zao walikwa na kanda za world cup lizokuwa zinatoka tv of Zambia kwa kutumia yale mamikanda makubwa kama mikate
Tulikuwa mimi wakati huo nasoma chuo kikuu nilienda Lindi kufanya field work Sokoine regional Hospital pia alikuwepo Advovate Kumwembe ambae nahisi ndiye baba yake Eddo Kumwembe aliyekuwa anaishi Ligula Mtwara alikwenda Lindi kwa shughuri zake za kiuwakili na rafiki yetu Sengwaji aliyekuwa anafanya kazi Tanesco Lindi katika mechi hiyo alikuwepo Yule gwiji wa kabumbu wa kizazi cha kati Diego Maradonna
Ilikuwa hivi Sengwaji alilopoka eti Maradonna ni zaidi Pele Advocate Kumwembe aling`aka na kumwamba aache kumlinganisha pele na Maradonna kwa sababu Maradonna hamfikanii pele hata kwa nusu.
Mala nyingi nimeona katika articles zake nyingi huyu Dogo Kumwembe anamponda Pele mbele ya Maradonna wakati sisi Pele tumemwona na Maradonna tumemwona watu hawa hawalinganishiki
Kwa hiyo kuanzia hapo huwa nimwamwona dogo huyu hana nidhamu kwa hiyo kila anachosema huwa siafiki.

What a pieceof ---- .Ypu really own a University degree ? Elimu na wasomi wa Tanzania bwana .
 
Thread imeenda shule sana dah...lakin n mwendelezo tu wa malalamiko next tym inabidi zije thread za nin kifanyike...

Eddo kishatoa solution ya nn kifanyike.NAYO NI KILA MMOJA KUTIMIZA effectivelly PANAPOMUHUSU.
 
Back
Top Bottom