Eddo Kumwembe haswaa simpendi kwa ukosefu wake wa adabu, 5/julay 1982 mjili lindi mtaa wa kawawa, tuko chobingo tunasubiri wahindi watoke jamatini ili mhindi mmjawapo rafiki yetu atuonyeshe mkanda wa mechi kati ya Brazil na Argentina world cup ya mwaka 1982, mechi iliyochezwa 2Julay 1982 ambayo Brazil iliibuka mshindi kwa bao 3-1.
Enzi hizo wajanja tulikuwa tunajipendekeza kwa wahindi ambao walikuwa na video kwenye jamatini zao walikwa na kanda za world cup lizokuwa zinatoka tv of Zambia kwa kutumia yale mamikanda makubwa kama mikate
Tulikuwa mimi wakati huo nasoma chuo kikuu nilienda Lindi kufanya field work Sokoine regional Hospital pia alikuwepo Advovate Kumwembe ambae nahisi ndiye baba yake Eddo Kumwembe aliyekuwa anaishi Ligula Mtwara alikwenda Lindi kwa shughuri zake za kiuwakili na rafiki yetu Sengwaji aliyekuwa anafanya kazi Tanesco Lindi katika mechi hiyo alikuwepo Yule gwiji wa kabumbu wa kizazi cha kati Diego Maradonna
Ilikuwa hivi Sengwaji alilopoka eti Maradonna ni zaidi Pele Advocate Kumwembe aling`aka na kumwamba aache kumlinganisha pele na Maradonna kwa sababu Maradonna hamfikanii pele hata kwa nusu.
Mala nyingi nimeona katika articles zake nyingi huyu Dogo Kumwembe anamponda Pele mbele ya Maradonna wakati sisi Pele tumemwona na Maradonna tumemwona watu hawa hawalinganishiki
Kwa hiyo kuanzia hapo huwa nimwamwona dogo huyu hana nidhamu kwa hiyo kila anachosema huwa siafiki.
Ningekuwa mimi ndio wewe ningefuta post hii kulinda heshima yangu
Nina wasiwasi pengine umeona tu imeandikwa na Edo ukajua hii ni michezo tu basi
Take time broda read between the lines utapata ujumbe mkubwa mno ulioendana na uandishi simulizi wa kuvutia
mambo mengine bhana..kaazi kweli kweli
Bambo naomba nijibie huyo jamaa hapo juu kua hana akili hata moja.
Edo nae!!!
Hivi hajui kama sisi tunan'gaa katika medani za UDAKU...! Nani unatusogelea!?
ha ha jamaa yupi? Mtoa mada ama huyo wa story zilipendwa za 1982? Wenga nitondili..nelonda kuligana huyo wa 1982..ha ha sijui nimepatia..lol!
Mods ondoa ujinga huu! This is a political forum and not otherwise!
huyo dokta! Nimeelewa wenga tu,hayo mengine mbona sio kingon!!
Mods ondoa ujinga huu! This is a political forum and not otherwise![/QUO
habariyamujini wewe unaonekana ni miongoni mwa wavivu wa kufikiri au kusoma! makala hii ni nzuri sana na kwa kifupi imegusa madhara katika maisha ya watanzania yanayoletwa na wanasiasa!! focus ikiwa ni lawama kwa timu zetu sinpofanya vibaya michezoni. Kwako wewe inaonekana habari ya kisiasa lazima itaje CCM au CHADEMA? Acha uvivu wa kufikiri utaishia kutawaliwa kiimani!! jipange.
nashukuru muarubaini mchungu kwa kumuelimisha huyu kijana roho inaniuma sana vijana wa tanzania kusoma habari nusu nusu na kuanza kucoment ujinga
Eddo Kumwembe haswaa simpendi kwa ukosefu wake wa adabu, 5/julay 1982 mjili lindi mtaa wa kawawa, tuko chobingo tunasubiri wahindi watoke jamatini ili mhindi mmjawapo rafiki yetu atuonyeshe mkanda wa mechi kati ya Brazil na Argentina world cup ya mwaka 1982, mechi iliyochezwa 2Julay 1982 ambayo Brazil iliibuka mshindi kwa bao 3-1.
Enzi hizo wajanja tulikuwa tunajipendekeza kwa wahindi ambao walikuwa na video kwenye jamatini zao walikwa na kanda za world cup lizokuwa zinatoka tv of Zambia kwa kutumia yale mamikanda makubwa kama mikate
Tulikuwa mimi wakati huo nasoma chuo kikuu nilienda Lindi kufanya field work Sokoine regional Hospital pia alikuwepo Advovate Kumwembe ambae nahisi ndiye baba yake Eddo Kumwembe aliyekuwa anaishi Ligula Mtwara alikwenda Lindi kwa shughuri zake za kiuwakili na rafiki yetu Sengwaji aliyekuwa anafanya kazi Tanesco Lindi katika mechi hiyo alikuwepo Yule gwiji wa kabumbu wa kizazi cha kati Diego Maradonna
Ilikuwa hivi Sengwaji alilopoka eti Maradonna ni zaidi Pele Advocate Kumwembe aling`aka na kumwamba aache kumlinganisha pele na Maradonna kwa sababu Maradonna hamfikanii pele hata kwa nusu.
Mala nyingi nimeona katika articles zake nyingi huyu Dogo Kumwembe anamponda Pele mbele ya Maradonna wakati sisi Pele tumemwona na Maradonna tumemwona watu hawa hawalinganishiki
Kwa hiyo kuanzia hapo huwa nimwamwona dogo huyu hana nidhamu kwa hiyo kila anachosema huwa siafiki.