Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
cv haioni, anayeoa mwanaume mkuu
Hahaaaaa! Basi vigezo na masharti vitazingatiwa.
cv haioni, anayeoa mwanaume mkuu
sana tu.....hahahaaaa!! kabangaaaa!!! aisee waliooa walimu wana raha zao eenh! haya bana...!
you dont deserve, nilikuheshimu sana kabla kumbe uwezo wako pia ni tatizo, wala haustahili kuwa miongoni mwa wanawake waliostaarabika.Mmmmh! We mtoa mada unamambo!!
you dont deserve, nilikuheshimu sana kabla kumbe uwezo wako pia ni tatizo, wala haustahili kuwa miongoni mwa wanawake waliostaarabika.
hakuna aliyenifurumusha, zaidi naona ni sawa na kwamba ulinitukana na kueleza mambo yasiyo na ukweli kuhusu mimi, ndio mana hukunijibu nilipojibu, na wala hukuchangia content ya mada iwe kwa kukosoa ama kuipinga kwa hoja zaidi ya kunishambulia mpaka nikashangaa as sikuwahi kukukejeri ama kukukwaza hukuhahaha who are you boy?,hasira zote hizi ni kwakuwa tulikufurumusha jukwaa la elimu na mada zako nyiiingi!! Zisizo na utafiti ! Mmmh ulijua MMU kule? uwege unajipanga !!
Ni kweli kabisaHahahaaaa kwa maana hyo ambao sio walimu ni majanga? mmmh idont thnk so
Nipm Kim Nana nikudigrishe ya pili
Mungu hakunyimi vyote mshara wetu wa kawaida ila ndoa zinatumimiu
umeona .
Mungu hakunyimi vyote mshara wetu wa kawaida ila ndoa zinatumiminikia chezea eduche wewe.
Hahaaaaa! Basi vigezo na masharti vitazingatiwa.
amang'ana bhabha Ghati!rire richamaa rimeshusha manati yake chini.