Mpendasifa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 277
- 111
Hilo jina lako limentisha! Naogopa mwenzangu!
Hahaha basi nabadili jina
Hilo jina lako limentisha! Naogopa mwenzangu!
Jamani me nipo, tena nina degree, lakini usimwambie mtu siri yako.
Hahaha basi nabadili jina
ngoja nianze kuzungukia waalimu wa Grade III A!
hapa najua life is made easy!
ni pm mkuu aisee
Hilo jina lako limentisha! Naogopa mwenzangu!
avatar yake ndio itakutisha zaidi hebu iangalie vizuri
Udomo zege umezidi mitaani,vijana wengi wanashindwa kuwaface na kuwatongoza ma bishost.
ndugu hapo umechamsha mke mwema s mwalim bal hutoka kwa bwana jua kila mtu anatabia yake punguza kutafta mke kwenye mitandao utakuja kujuta jua ndoa ndo hatua ya mwisho acha hizo fikra potofu
Nilidhani mwanzisha Uzi ni Mwalimu wa Kike anatafuta mume acha nikimbilie kufungua. Nyooooooo
kaka life easy kabisa mwenyewe hapa nakula shule sijui kulipa kodi ya nyumba, nyumba bure ....ah safi! karibu ....
Wewe ni janga tena sio dogo,janga la taifa
cv haioni, anayeoa mwanaume mkuuNtakupm unipe cv yako ndugu yangu!