dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Mimi baada kufatilia mikutano ya Lissu Kanda ya Ziwa pamoja na Press conference aliyofanya Mwanza Leo, nawashauri wale wote wenye adhma ya kumchagua JPM basi waache mara moja kufatilia mikutano ya Tundu Lissu vinginevyo nawahakikishia watabadili maamuzi.
Jamaa anatema nondo sijapata ona.
Chonde chonde, nawaomba!
Jamaa anatema nondo sijapata ona.
Chonde chonde, nawaomba!