Anayetaka kulima sumbawanga tuwasiliane

Anayetaka kulima sumbawanga tuwasiliane

nyundo2017

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
1,437
Reaction score
861
Habari wadau wa kilimo,
Nina shamba langu sumbawanga kanondo ekari 7 kutokana na majumu kubana sitoweza kwenda kulilima hivyo kwa mwenye kuhitaji kulima tuwasiliane nimpe alime.
Asante!!
 
Hongera sana mkuu,mazao gani yanastawi huko
 
Sumbawanga sehemu gani?Muze au Mtowisa
 
Habari wadau wa kilimo,
Nina shamba langu sumbawanga kanondo ekari 7 kutokana na majumu kubana sitoweza kwenda kulilima hivyo kwa mwenye kuhitaji kulima tuwasiliane nimpe alime.
Asante!!
weka bas mawasiliano
 
Mbali Sanaa. Nauli tu si chini ya 45, 000 kwenda.
 
Back
Top Bottom