Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Jeshi letu ni la kitaaluma Anayesema JWTZ nzima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa wapo wengi kama wakina tesha wanaunga mkono wananchi watajitokeza. mda ni mwalimu mzuri tukutane #D9

msiogope tutashinda hii vita.
 
Kiuhalisia 29 Oct jeshi likubali lilifeli kulinda raia.
Raia part yao waliitekeleza vyema, jeshi likafeli.. Mnawaambia watu watoke kwa wingi halafu nyie hao hao mnaweka lockdown..
Mauwaji yale yalifanywa na kikundi kisicho rasmi tena kwa kushtukiza na kuvizia kwenye nyumba za watu hii inaweza kuwa jambo lisilokuwa likitarajiwa kutokea
 
Mauwaji yale yalifanywa na kikundi kisicho rasmi tena kwa kushtukiza na kuvizia kwenye nyumba za watu hii inaweza kuwa jambo lisilokuwa likitarajiwa kutokea
Kiongozi nimeshuhudia polisi wakilenga raia wamesimama mbele ya Iveco ya jeshi, na wanajeshi hawakufanya lolote, na wale polisi waliua raia pale.
Wanajeshi walikuwa na silaha, ni kama waliona wale askari wamejizatiti kuliko wao, jamaa wakawa wataratibu, walichofanya ni kupiga picha zile maiti na kuondoka.

Na hio si mara moja. Askari walikuwa na kiburi cha kulenga raia mbele ya jwtz.
 
Mauwaji yale yalifanywa na kikundi kisicho rasmi tena kwa kushtukiza na kuvizia kwenye nyumba za watu hii inaweza kuwa jambo lisilokuwa likitarajiwa kutokea
Hakuna namna yoyote ya kuwatetea jwtz !!

Haiwezekani na haipo! Haiwezekani mauaji mengi vile yatokee na wapo mtaani. Uliza mwanza ilikuwaje ndo uje kuomba kufuata Uzi wako hapa.
 
Kiongozi nimeshuhudia polisi wakilenga raia wamesimama mbele ya Iveco ya jeshi, na wanajeshi hawakufanya lolote, na wale polisi waliua raia pale.
Wanajeshi walikuwa na silaha, ni kama waliona wale askari wamejizatiti kuliko wao, jamaa wakawa wataratibu, walichofanya ni kupiga picha zile maiti na kuondoka.

Na hio si mara moja. Askari walikuwa na kiburi cha kulenga raia mbele ya jwtz.
Oct 29 ilidhihirisha JW ni nyoka WA mapambo anatisha kwa kumuangalia ila utendaji zero!
 
Jeshi letu Lina nidhamu ya uoga sana!

Huwezi Linda mipaka wakati wanasiasa wanashindwa kulinda rasilimali eti unaogopa kujiingiza kwenye siasa!

Huwezi Linda mipaka wakati ndani Kuna viongozi wanaiba rasilimali!!

Mimi nisingekubali kabisa huo ujinga hasta kama ningeonekana mhaini!!

Sniper's was kimedani hawapo!!?

Mbona kenedy Raise wa Amerika alichezea!!?

Mbona Karume alichezea risasi ,Ina maana kizazi hiki hakuna vijana well trained wa walau kuleta fear factor Kwa viongozi was Tz!!?

Ujinga ni mwingi kuliko !!

Nawaza kimaandishi coz kwasauti hofu ya kutekwa imetapakaa!!
 
Kiongozi nimeshuhudia polisi wakilenga raia wamesimama mbele ya Iveco ya jeshi, na wanajeshi hawakufanya lolote, na wale polisi waliua raia pale.
Wanajeshi walikuwa na silaha, ni kama waliona wale askari wamejizatiti kuliko wao, jamaa wakawa wataratibu, walichofanya ni kupiga picha zile maiti na kuondoka.

Na hio si mara moja. Askari walikuwa na kiburi cha kulenga raia mbele ya jwtz.
ulimsikilizia Mange ? Jeshi linaundwa na vikosi vingi visivyo na mawasiliano na hili ndo ttzo so wapo watiifu kwa wauaji na wapo wanapinga ila hawajuani ndio maana inakuwa ngum kikos kimoja kufanya maamuz ila kwa haya matukio bas huko mbele watajitokeza tu
 
Mauwaji yale yalifanywa na kikundi kisicho rasmi tena kwa kushtukiza na kuvizia kwenye nyumba za watu hii inaweza kuwa jambo lisilokuwa likitarajiwa kutokea
Mlishaambiwa kuwa mtoto wa Samia aitwae Abdul aliingiza nchini container la Silaha na mamluki toka Zanzibar waliletwa bara na kusambazwa Mikoa ya Mbeya, mwanza Arusha Dodoma etc. Kikundi hiki cha maharamia huku Zenj wanaitwa Janjaweed ; na ndio waliofanya mauaji ya kikatili ya vijana wetu!! WAUAJI hao wegine ndio walinzi wa karibu wa Samia ambao ndio viongozi wa kikundi kisicho rasmi cha mauaji.
 
JWTZ ni jeshi la mashoga, hawakulinda raia sijui walikuwa mitaani na mitutu ile kufanya nini?

D9 hatuna shobo nao, polisi wajiandae kupelekewa moto.
 
Ila tuseme ukweli

Kwa hali ilivyo ndani ya nchi hapakupaswa Kuwe na ukimya mwingi hivi ndani ya Jeshi Pasi na udhibiti

Kulitakiwa Kuwe na drama mbili tatu mbali na ile ya Tesha kuweka mambo sawa

Hata tukivuka hili bado Jeshi lina deni kwa wanaichi na lita tumia muda kulipa
 
Mauwaji yale yalifanywa na kikundi kisicho rasmi tena kwa kushtukiza na kuvizia kwenye nyumba za watu hii inaweza kuwa jambo lisilokuwa likitarajiwa kutokea
Mauaji yamefanyika siku tatu mfulizo tena yalikuwa well coordinated kubalini tu JWTZ mmekuwa exposed hamna lolote na mmewekwa lockdown mwezi mzima kama kuku wa kisasa
 
Mlishaambiwa kuwa mtoto wa Samia aitwae Abdul aliingiza nchini container la Silaha na mamluki toka Zanzibar waliletwa bara na kusambazwa Mikoa ya Mbeya, mwanza Arusha Dodoma etc. Kikundi hiki cha maharamia huku Zenj wanaitwa Janjaweed ; na ndio waliofanya mauaji ya kikatili ya vijana wetu!! WAUAJI hao wegine ndio walinzi wa karibu wa Samia ambao ndio viongozi wa kikundi kisicho rasmi cha mauaji.
Wao kama jeshi hawakulijua hilo achen kutetea ujinga if mtu anaingiza silaha ndan ya mipaka yenu na mnajua plan zake still na anakuja anafanikiwa then hamjitambui kubalin tu mmetia aibu sana
 
Back
Top Bottom