Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,853
- 41,180
Turudi saa ngapi maana wengine saa 3 tu sim zinaanza pigwaJaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie