Anayekutawala amekuzidi Akili

Superpower hawawezi kuwa Wawili katika ulí mmoja na zama moja. USA sasa hivi ndio Superpower ndiye anayetawala Dunia ikiwemo hao wachina.
Sidhani kama siasa za kimataifa na historia yake unazielewa vizuri hapa tutakesha.

Ila nikukumbushe civilization duniani haijaanzia ulaya na suala la kutawala watu kimabavu sio level of intelligence.
 
Umeandika mwngi yenye uelekeo wa ukweli Ila sio lazima iwe kweli..ni uelekeo tu .
Ni sawa' na bati ambalo halijapigiliwa vizuri upepo ukivuma nilipiga kelele Sana kama linang'oka kumbe lipo tu na upepo ukitulia nalo linatulia.
Hiyo Ni kichwa yako' huo' unatumia ndumu au bangi ..ukivuta unachangamka kweli..utandika wee Ila Moshi ukitulia na ww una tulia.
I know what I'm saying
 
Upo sahih


Mbowe ametuzid akili
 
L
Sidhani kama siasa za kimataifa na historia yake unazielewa vizuri hapa tutakesha.

Ila nikukumbushe civilization duniani haijaanzia ulaya na suala la kutawala watu kimabavu sio level of intelligence.

Wapi nimesema Civilization imeanzia Ulaya?

Hiyo Historia ya mataifa ni ileile tuu. Huwezi kuwa na Superpower Wawili Kwa wakati mmoja. Hiyo haipo na haitakuja kutokea.

Akili inaweza kufanya kazi kwa njia rahisi au njia ya mabavu. Kitakachoangaliwa zaidi ni matokeo kuwa yataleta tija tuu.
 
CCM vs CHADEMA
 

Wewe ndio umeandika haya lazima ujue ulichoandika, unajaribu kueleza unajielewa zaidi lakini unashindwa kuelewesha wasomaji wako.
Karibu Sana Mkuu
 
Wacha nikukumbushe kitu hiki kitakusaidia.

Ancient China ndio wagunduzi wa gunpowder lakini hawakutumia kuunda bunduki nyingi na kuanza kupora maeneo ya watu hovyo duniani ila baada ya wazungu kuipata hiyo teknolojia toka China angalia walivyo anza mabavu ya utumwa na kupora maeneo ya watu hovyo na kuwakoloni.

Hii itakusaidia kujua mabavu, kutawaliana na akili nyingi havina mahusiano
 
Akili ndio sifa namba moja na nguzo ya kutawala chochote kile.
Hata kwenye ndoa unaambiwa ishi kwa akili na mkeo kwani bila hivyo huwezi kumtawala.

Vigezo vingine ni Minors

Mimi binafsi naona hekima ndiyo kitu cha kwanza, akili ni ujuzi ambao karibu kila mtu anao, lakini hekima ni namna bora ya kutumia maarifa au akili. Kwa hiyo unaweza kuwa na akili (maarifa) lakini usiwe na hekima, hilo likapelekea kuwa na majanga. Hata mfalme Sulemani mwenye hekima, alivyoambiwa na Mwenyezi Mungu achague kitu kitakachomsaidia kutawala Israeli aliomba hekima. Hekima ndiyo kila kitu.
 

Waligundua mwaka gani?
Nani aliyegundua?
Nini kilipelekea ugunduzi huo?
 
Tangu aanze kututawala sasa anautafuta muongo wa tat na haonyesh dalil za kuachia wadau wengine washike mpin na wote waliojaribu kuibua ajenda ya yey kuachia nafas cha moto walikiona


Jamaa ni jiniaz[emoji41][emoji41][emoji41]
 

Hekima ni level ya juu ya Akili.
 

Kati ya hao wawili, Wachina walikuwa na akili (ujuzi) wa kutengeneza gunpowder, lakini pia walikuwa na hekima (namna bora ya kutumia ujuzi/akili) katika matumizi ya huo ujuzi wao.
Wazungu kwa upande wao, walikuwa na ujuzi (ambao waliutoa kwa waChina) wa kutengeneza bunduki, lakini hawakuwa na hekima ya kutumia, ndiyo maana wakatumia ujuzi huo katika robbery and plundering.
 

Utawala unahusisha akili kubwa zaidi ya kudili na watu, kuwadhibiti na kuwaongoza wafanye yale unayotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…