Anayekutawala amekuzidi Akili

Na hapa ndipo tatizo lilipo unadhani dunia imeanza baada ya western Civilization.

Unafahamu kuhusu misri ?
Unafahamu kuhusu uajemi ?
Unafahamu kuhusu waarabu ?
Unafahamu kuhusu wahindi ?
Unafahamu kuhusu wachina ?

Hayo maswali yakatakusaidia
 
Na hapa ndipo tatizo lilipo unadhani dunia imeanza baada ya western Civilization.

Unafahamu kuhusu misri ?
Unafahamu kuhusu uajemi ?
Unafahamu kuhusu waarabu ?
Unafahamu kuhusu wahindi ?
Unafahamu kuhusu wachina ?

Hayo maswali yakatakusaidia

Nafahamu kuhusu Misri, uajemi, umedi(kurdi), Ashuru (Syria) , Uyunani (Ugiriki), Warumi, Dola la Ottoman, kisha na hawa Wazungu.
Wahindi na wachina sijawahi kusikia popote waliwahi kutawala Dunia.

Labda utoe elimu mpya hapa
 
Nafahamu kuhusu Misri, uajemi, umedi(kurudi), Ashuru (Syria) , Uyunani (Ushiriki), Warumi, Dola la Ottoman, kisha na hawa Wazungu.
Wahindi na wachina sijawahi kusikia popote waliwahi kutawala Dunia.

Labda utoe elimu mpya hapa
Umeona sasa kwako wewe akili nyingi unaitanabaisha kwa kupora maeneo na kubana watu vifungoni.

Wacha nikuulize tena linalo endana na hali ya sasa.

Toka U.S.A imekuwa super power wa duniani ni vita ngapi na maeneo mangapi imepora na kukalia kimabavu ? Na toka China imekuwa super power ni vita ngapi imewahi iona ikiwapiga watu na kuwavamia kimabavu kama marekani ?
 

USA inatawala mpaka China.
Ndio maana ya kuitwa Superpower.
China haijawahi kuwa Superpower, ndio maana hata eneo la Taiwan ambalo ni eneo lake inahangaika nalo.
Hivi unajua maana ya Superpower?
 
Kutawala ni utashi, akilini ni tunu.
Wanazuoni wengi ulimwenguni hawakauwa watawala, lakini watawala wengi waliwatumia wanazuoni katika kutawala.
 
USA inatawala mpaka China.
Ndio maana ya kuitwa Superpower.
China haijawahi kuwa Superpower, ndio maana hata eneo la Taiwan ambalo ni eneo lake inahangaika nalo.
Hivi unajua maana ya Superpower?
Sasa unazidi kuchanganya mambo U.S.A anaitawala China ki vipi ?

Suala la Taiwan sifikiri kama unalielewa.

Wewe nisaidie maana ya superpower nisiyo elewa mimi karibu ?

Pia nikukumbushe swali langu la vita kati ya U.S.A na China hujajibu bado
 
Sasa unazidi kuchanganya mambo U.S.A anaitawala China ki vipi ?

Suala la Taiwan sifikiri kama unalielewa.

Wewe nisaidie maana ya superpower nisiyo elewa mimi karibu ?

Pia nikukumbushe swali langu la vita kati ya U.S.A na China hujajibu bado

Superpower hawawezi kuwa Wawili katika ulΓ­ mmoja na zama moja. USA sasa hivi ndio Superpower ndiye anayetawala Dunia ikiwemo hao wachina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…