Saint H.Jr
Member
- Aug 22, 2013
- 47
- 40
Jamani wanajf,naamini wenyeji wa mwanza mpo na ndiyo mtakaonipa msaada wa dhati.Kuna mdogo wangu kafeli kidato cha nne,sasa nimepewa jukumu la kumtafutia shule ya kiislamu,O level na iwe Mwanza na gharama iwe chini ya Milioni! Naombeni mnisaidie wana jf,kama kuna mtu yupo anaijua na gharama zake na hata kama na mawasiliano yake nitashukuru sana.
Nawasilisha
Nawasilisha